Ukiwa Kiongoz Afrika ukitoka madarakan au kupokonywa cheo unakua na Busara sana
Waliwezaje kumtuma yule kachelowa sirin nrb harafu washindwe kutuma watu open wazi kwenda kuchukua maelezo! Hata Lisu wanapashwa waende wamchukue maelezo,unataka kuniambia wanasubili hadi arudi tz kweli,Hana busara huoni kamakatalia dreva Nairobi eti ana matatizoya saikolojia hahaaa
Kwani wewe shida yako nini?Umepigwa bao?Hamisha magoli km wengine. UNAOGOPA NAPE AKIMUUNGA MKONO LISSUE KWA MAPAMBANO YAKE HETE MBELE YA MTUTU.ITAWAMALIZA HADI ROHO.Na yeye atakuwa amejiunga na kile chama kilicho hamisha makao makuu yake kutoka mtaa wa ufipa hadi nairobi kwenda kutolea matamko huko? naona notion ya sultan sayid seyid kuhamisha makao makuu kutota muscar kuja zanzibar bado inaendelea
Hahahahaha lol! Hapo umejipatia Mkuu, mtu mmoja poa sana huyo.
hana shida
Probably..!!!he has gone to visit hon president of TLS.
Yeye mwenyewe alishasema yeye ni mtoto wa Kimakonde atishwi wala aogopi,amelala vichakani kukitoa chama kwenye matope wao wakila via na ....!!sasa aogope nini....?????Kwa hiyo wataka aogope kuongea anachotaka kama unavyoogopa weye?
Ni kweli kwani hakuna kiongozi aliyekuwa bogus kama Nape na nilitegemea kama kuna uadui wa kweli kwenye siasa, huyu angeendelea kutengwa na wapinzani - thubutu yako!! Leo amebadilika kuwa jembe kwa wapinzani na anaonekana ni kiongozi mzuri. Hakuna adui wa kudumu katika siasa hata ukiwatukana wako radhi kumeza maneno yao.Ukiwa Kiongoz Afrika ukitoka madarakan au kupokonywa cheo unakua na Busara sana
Ewe kiumbe dhaifu Nape Nahuye chunga ulimi wako kama bado unajipenda
Hii nafasi ina mwenyewe Jamani!! Tusitafute ugomvi wa bure!Be first to reply
Una maanisha hawa viongozi wetu hawana busara. Ccm bwana.Ukiwa Kiongoz Afrika ukitoka madarakan au kupokonywa cheo unakua na Busara sana
Kwan huko upinzan hamna viongoz?Una maanisha hawa viongozi wetu hawana busara. Ccm bwana.
Angekua asingemficha dreva NairobiUnamaanisha "mwenyekiti" kwa sasa hana Busara kabisa?
Mbowe ndiye mtawala wa sasa?Angekua asingemficha dreva Nairobi