Mkya
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 667
- 94
Ccm na chadema Arusha watakuwa na tamasha LA pamoja litakalo ratibiwa na bavicha na uvccm kutakuwepo na Mpira wa miguu na baadae kuvuta kamba
Mwisho ni pambano kabambe LA ngumi kati ya Mbunge Lema wa chadema na mwanachama waccm na rafiki wa karibu na Lema Jumanne Mjusi
Hakutakuwa na kiingilio lengo ni kuendeleza umoja na mshikamano wetu Arusha
Mwisho ni pambano kabambe LA ngumi kati ya Mbunge Lema wa chadema na mwanachama waccm na rafiki wa karibu na Lema Jumanne Mjusi
Hakutakuwa na kiingilio lengo ni kuendeleza umoja na mshikamano wetu Arusha