Recent content by Evodius Mbilla

  1. E

    Askofu Gwajima vs Cardinal Pengo: Polisi waingilia kati

    Gwajima ebu nenda fasta kwa wanausalama tuna me ya kujadili ili lako lisitusumbue. Namuona Gwajima kama hekima hakuna katika kichwa chake. Hivi hajajifunza chochote ktk maisha ya Suleimani na Abraham
  2. E

    Rais Kikwete ateua wabunge wapya wawili

    kuendelea kula chakula wakati umeshiba eti kwa sababu tu kipo ni uzembe wa kufikiri kuna haja ya kutumia busara katika nafasi zetu. Eti kwa mujibu waa katiba wakati muda umeisha, it doesn't bring sense
  3. E

    Sababu 10 za maaskofu kukataa katiba pendekezwa

    Hapana kwa katiba pendekezwa
  4. E

    Dr. Slaa Hatatuangusha Watanzania

    Kwa mwenendo wa nchi yet, inahitaji kiongozi shupavu kama yeye Dk. Slaa
  5. E

    Why Reverend Gwajima misses the target on Cardinal Pengo

    Wonderful elaborations! I heard Gwijima's chocking remarks against his fellow servant of the most high I was really astonished. Here, I can see how the waves of politics are invading these servants to extent of diverting from the scriptures demands. I am full conviced that the knowleadge of...
  6. E

    Utatuzi wa uvunaji wa gesi Mtwara bado kitendawili. Chanzo ni nini?

    That's LOGIC. Selfishness will demolish this country even more than this. Mtwara keep it up, even freedom fighters did the same to rescure the potentials from the unsatisfied bellies.
  7. E

    Membe kugombea urais mwaka 2015 iwapo...

    POSSIBLY YOU DESERVE, since from the HOLY BOOKS we read that human beings are made weak but are given an opportunity to transform the their weaknesses into a more admirable end. I encourage my dearest Tanzanians to only TRUST this MAN. I know he once shown some little errors which are more...
  8. E

    Forgoten land

    Mwananchi: Msh. Ebu tueleze hawa wawekezaji (wazungu) wanao chimba madini ya eneo lako la wilaya una taarifa zozote na kama ndio nini hatima ya wananchi kuhusu kunufaika kwao? Mbunge: Ndugu zangu wananchi kweli mimi sijui chochote kuhusu hao wawekezaji na sijui watafanya nini kwa ajili...
  9. E

    mh.lowasa urais sahau nafasi pekee ya heshima kwa watanzania ni kiuua ccm .

    Tanzania inahitaji mtu makini mwenye kutoa maamuzi kwa muda ambayo yanamaslai kwa taifa letu. Tunao viongozi lakini ni wale wanaofanya kazi kiurafiki zaidi na kama si kindugu wapo wakichekeana tu ktk mambo ya kimsingi. Siasa za bongo zinahitaji mtu jasiri wa kuweza kuwaadabisha hawa wala nchi...
  10. E

    CCM inakubalika zaidi kuliko CHADEMA kwa Wanamuziki wa Kizazi Kipya?

    Nijuavyo mimi hao wasanii wanajipotezea umaalufu wao na huenda mauzo ya CD zao yatafifia. Kuna haja ya wao kusoma mabadiliko ya siasa za sasa vijana na hasa hiki kizazi cha wasomi ambao wengi wao maisha yao ni ya kubangaiza wanaitazama CHADEMA kama muokozi wao. Kusema ni baada ya miaka mingi ya...
  11. E

    CCM inakubalika zaidi kuliko CHADEMA kwa Wanamuziki wa Kizazi Kipya?

    kweli jicho lako linaona mbali kwa upeo wa kimapana zaidi. CCM sasa hawana jipya la kuileza nchi badala yake wamebakia kuhaha
  12. E

    CCM inakubalika zaidi kuliko CHADEMA kwa Wanamuziki wa Kizazi Kipya?

    Ni vema ukasoma mabadiliko ya nyakati si kama hivyo unavyoamini. Nyimbo za Roma ni aina ya nyimbo ambazo zinazungumzia hali halisi ya Tanzania ya sasa na hujaribu kufichua uovu uliopo. Kweli ilipofikia Tanzania inaitaji wasanii kama Roma na Mjomba wanafichua uovu uliopo na sio kuwazuga wananchi...
  13. E

    UDOM uchaguzi

    Kampeni zaendelea kupamba moto kwa nafasi mbalimbali ikiwemo ya raisi wa college na raisi wa shirikisho la college zote za UDOM, wabunge na viongozi wa ma-block. Unaonyesha kuwa ni wa huru na haki
Back
Top Bottom