Recent content by Everyday

  1. E

    Shule ya Kigoma Sekondary yafungwa

    Sikufurahia mgomo uliopelekea shule kufungwa bali nimefurahia kuisikia shule yangu kipenzi ya enzi hizo. Jamani mambo yanabadilika maana enzi zetu umeme wa kutosha, maji masaa ishirini na nne, mazingira yenye miti kibao, staff room ambayo sijawahi kuiona mahali popote. Jamani Kigoma Secondary...
  2. E

    Wanafunzi waua Chuo kikuu Mzumbe

    Mbona picha za tukio hamzitupii?? Aliyenazo afanye hivyo please!!
  3. E

    Wanafunzi waua Chuo kikuu Mzumbe

    Kijana ametutoka na binafsi niko hapa msibani nyumbani kwa wazazi wake. Alikuwa maarufu kwa ukwepuaji wa laptop za wanachuo. RIP a.k.a 'bad boy'
  4. E

    Channel za star times vipi? Msaada

    Hata king'amuzi cha Ting halu kadharika.
  5. E

    Ushauri kuhusu Subaru Forestar

    Una akili kweli? Hivi ni kila kitu lazima ukiseme mbele za watu? Uwe ukijua kuwa kwa hili umebugi brother! Uwe na mipaka.
  6. E

    Kifo cha Balali ni Hekaya za Abunuasi!

    Watu wana dhambi!!!
  7. E

    Askari wa Voda fasta

    Jamani naomba ufafanuzi. Hivi ni kweli kuwa jukumu, lengo na madhumuni makubwa kabisa ya polisi hawa maarufu kama voda fasta ni kukamata na kukimbizana na pikipiki? Inaniwia vigumu kuamini hivyo kwani kwa nikionacho katika mji wa Morogoro bila kujua kinachoendelea ndani ya miji mingine...
  8. E

    Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

    Wana JF. 'Learning The Hard Way' sio mchezo. Mtunzi ni Yusuph Halimoja. Huwezi amini umahili wa mtunzi katika novel hii. Kwa anayeza kunisaidia kukipata tena aniambie tafadhali.
  9. E

    Nataka kununua gari aina ya Pajero i0, msaada kwa anayelijua

    Wapendwa wana JF. Nina nia thabiti na mapenzi ya kununua Pajero i0 na nimetokeo kupenda sana aina hii ya gari. Nakuombeni sana wana JF kama kuna mwenyewe welewa juu ya gari hili ikiwa ni pamoja na matumizi yake ua mafuta anijuze. Naomba kuwasilisha.
Back
Top Bottom