Hilo la kukaa Sana chooni kwakuharisha pia nakubaliana nawe mkuu. Maana hiyo shida ( BAWASILI) ndo inayo nisumbua sasa hivi,yaani sina Amani kabisa.
Kuna jamaa wa tiba asili nimemfuata akaniambia dawa anayo Kwa 200k. Nikanywea kabisa, if anyone can help Kwa cheap price if not for free ajitokeze...
Kwahiyo opposition nalo ni neno la kiswahili lilipo kwenye kamusi ya kiswahili?!
Jaribu kuwa makini unapojaribu kuwapotosha watu wenye akili zao timamu humu.
u,,,,inambidi akumbuke nyuma wakati akifanya kazi na marehemu.
Akujikumbushe tu kwamba hayati Jumbe msimamo wake wa serikali 3 ndio uliomponza na usingemponza kama SEIF na wenzake wangeungana naye tangia hapo.
Inashangaza Leo hii anajifanya mwema kwa wazanzibari ilihali yeye aliungana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.