Recent content by EVATI

  1. EVATI

    Kubadili account ya Facebook kuwa page

    Msaada Wana it nawezaje kubadili account yangu ya facebook kuwa page mtu akitaka kuniomba urafiki awe anani follow
  2. EVATI

    Mtu alie maliza chuo mwaka 2018 anaweza kupata Mkopo?

    Kwa wale mnaohusika na kuwaombea mkopo wanafunzi napenda kuuliza kwa mtu alie maliza chuo mwaka 2018 na hajafanikiwa kuchukua cheti kutokana na hali ngumu ya kimaisha anaruhusiwa kuomba mkopo kwa kutumia transcript .
  3. EVATI

    Wanaofahamu usajili wa line kwa alama za vidole

    Niuzie finger printer ya halotel
  4. EVATI

    Wanaofahamu usajili wa line kwa alama za vidole

    Habari wanaJF, Kwa wale wanao sajili laini hivi kuna uwezekano wa kusajili laini za Halotel kwa kutumia Finger Print ya Voda au kama kuna njia nyingine naomba mnisaidie maana nimekosa Finger Print ya Halotel nataka nianze kusajili laini.
  5. EVATI

    Je, naweza kupata mkopo bila cheti?

    Nilikuwa nauliza kama mtu ana transcript tu cheti hajachukua anaweza ku-apply mkopo na chuo akachaguliwa na mkopo akapewa na vipi akifika chuo alichochaguliwa hawatamuuliza cheti.
  6. EVATI

    Najifunzaje kingereza cha kuongea?

    Habari wanaJF, Naombeni msaada nawezaje kujifunza kingereza cha kuongea japo nina idea nacho kidogo ila kwenye kuongea ndo shida. Nitumie njia gani ili niweze kuongea vizuri.
  7. EVATI

    Nime root sim yangu Tecno Y3+ nimefuta inanisumbua kwenye kukata na kupokea

    Nitumie namba yako pm Sent using Jamii Forums mobile app
  8. EVATI

    Nime root sim yangu Tecno Y3+ nimefuta inanisumbua kwenye kukata na kupokea

    Du! tufanye kupeana namba kaka ntakutafta kesho unielekeze npe namba yako Sent using Jamii Forums mobile app
  9. EVATI

    Nime root sim yangu Tecno Y3+ nimefuta inanisumbua kwenye kukata na kupokea

    Nime restore but haziludi Sent using Jamii Forums mobile app
  10. EVATI

    Nime root sim yangu Tecno Y3+ nimefuta inanisumbua kwenye kukata na kupokea

    Superuser Sent using Jamii Forums mobile app
  11. EVATI

    Msaada: Nahitaji kujua namna yaku upgrade Tecno Y3, nmeiroot simu

    Habari wana jamvi, nmeroot simu yangu ya tecno y3. Android ya simu ni 4.4.2 . Sasa nataka kuiupgrade kwenda 5.0+ nisaidieni wakuu Sent using Jamii Forums mobile app
  12. EVATI

    Nime root sim yangu Tecno Y3+ nimefuta inanisumbua kwenye kukata na kupokea

    Nime root sim yangu TECNO Y3+ nikafuta system app nimefta dialer sasa nikadownlod nyingine nikimpigia mtu inaita ila haileti sehem ya kukata yan kiufupi haionyeshi kama ipo inaita msaada tafazal Sent using Jamii Forums mobile app
  13. EVATI

    Naombeni msaada

    Habali Wana Jr Naombeni Msaada Wenu Simu Yangu baada Ya Kuiroot Ilikuwa Inaishia Kuandika Logo Ya TECNO ilikuwa haifunguki nili iflash but nikakuta kuna mabadiliko mwanzoni ilikuwa inasoma 3G Laini Zote But Nilivo Iflash Nikakuta Inasoma 3G Laini 1 Naombeni msaada kama kuna uwezekano wa...
  14. EVATI

    Ni kweli ajira kada ya afya zimetoka

    Habali wana JF nasikia kuna nafasi za kazi za afya zimetolewa naombeni msaada mwenye link kama ni kweli
Back
Top Bottom