Mkuu wewe piga kitabu na poleni sana kusoma katika mazngira magum hasa kipindi cha mitihani kama hiki ambapo 70% ya madarasa hufungwa ndo shida ya vitu huonekana. Ila mtatusua tu mi pia nmetoka apo juz kat na nmetusua sebuse wewe
Vp mashauri na discovery yake yupo bado
Angalia ni wap hisia zako zinapokutuma, ni wp ukienda nafc yako inawwza kuwa na aman.
Dada hakikisha unafanya uamuz ulio sahihi vnginevyo utaona maisha ya ndoa machungu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.