Mungu wafungulie mwanga hao wote waliyosindikwa na Ccm wajitambue! Wakala yeyote atakae pokea rushwa ya Ccm kuruhusu bao la mkono kizazi chake kilaaniwe!
Kuumbe! Ndo maana nimemwona anapiga push -up! Kwenye kampeni kuonyesha Watz kuwa msipomchagua hapatatosha! Tafadhali sana kama kuna aliyeona nae aseme labda mimi niliota!
Ccm! Oyeee! Mkiambiwa mfanye mabadiliko hamtaki! Sasa mtakuwa mnapata umeme mara moja kwa mwezi. Nguvu nyingi tunaelekeza sehemu zenye upinzani ili tupate wanachama wapya wa ccm! Songea tayari ni ngome yetu hata mkikosa umeme hamna shida nyie ni wetu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.