Justin Dimee
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 1,145
- 249
jamani tanzania yetu jama inahitaji mabadiliko jamani mana apo umeme tuna zalisha sisi sasa bado tutaja uziwa bei ile ile na bei haishuki na mateso na hasara zote tunazo zipata bado watatubana hii tanzania nchi yangu nzuri ila ayo mateso yake sasa.
bila mabadiliko ya uongozi ambao tupo nao tangu uhuru wetu mpaka leo kutakua hakuna kitu kitaweza badilisha tena maisha aya mambo yata kua magumu mara 2 ya hapa tulipo.
tufanyeni mabadiliko kweli jamani maana tupo nyuma sana .
bila mabadiliko ya uongozi ambao tupo nao tangu uhuru wetu mpaka leo kutakua hakuna kitu kitaweza badilisha tena maisha aya mambo yata kua magumu mara 2 ya hapa tulipo.
tufanyeni mabadiliko kweli jamani maana tupo nyuma sana .