Recent content by evan rwiza

  1. evan rwiza

    Mwenye kampuni ya ku supply office stationaries

    Naomba mtu mwenye kampuni ya ku supply office stationaries kwenye ma taasisi kwa mfumo wa tendering, nahitaji kupata ufahamu wa wapi anachukua kwa gharama nafuu (kwa hapa hapa Tanzania) na profit margin yake inakuaje kuaje, naomba kuwasilisha.
  2. evan rwiza

    Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

    Scars, heeee hii umetufunga Sent using Jamii Forums mobile app
  3. evan rwiza

    Rais Magufuli aongeza muda kwa usajili wa laini kwa alama za vidole

    NIDA wana changamoto, watu kila siku wamejazana kujiandikisha, hizo siku 20 zitafika na bado watu watakuwa bado wako wengi wamejazana, wanasema wiki 2 unakuwa umepata namba lakini saa nyingine zinazidi hata hizo wiki mbili na namba mtu hujapata Sent using Jamii Forums mobile app
  4. evan rwiza

    Kikao changu na makampuni ya simu kuhusu kesi ya kuibiwa vifurushi

    halotel walikujaga na line za royal bundle, zilionekana kuwa mkombozi kwa sababu angalau mtu ulkuwa unaweza kutumia internet mwezi mzima hata kama kasi sio kubwa, lakin sasa hivi imekuwa ni utapeli tu, hata kufungua pcha ya kb kadhaa ina load hata nusu saa
  5. evan rwiza

    Kampuni ya cleaning au repair and maintenance of office equipments

    naomba kama kuna mwenye kampuni ya repair and maintenance of office equipments au cleaning services, nahitaji aniongoze kwenye mambo kadhaa kadhaa
  6. evan rwiza

    Lain ya royal bundle

    kasi ya internet mbovuuu
  7. evan rwiza

    Royal bundle

    rekebisheni kasi kidogo ya mtandao iko chini vibaya mno
  8. evan rwiza

    Bank gani inayogharamia hata 70% ya LPO?

    habari wakuu, naomba kujua bank gani ambayo ina huduma ya ku finance lpo kwa kampun? yani nikipata LPO ya kutoa huduma fulan bank gank ambayo ina huduma ya kutoa kiasi flan cha pesa hata 70% ya kiasi chote ambacho kiko kwenye LPO ili niweze kutoa hyo huduma kikamilifu then nikiishalipwa wakate...
  9. evan rwiza

    Leseni ta biashara ataipataje?

    wakuu naomba kujua, kuna jamaa yangu ana kampuni sasa anataka akachukue leseni ya biashara manispaa ila ameambiwa inatakiwa apeleke uthibitisho wa vitambulisho mf: cha kura/taifa vya shareholders ili kuthibitisha kuwa wanaomiliki hyo kampuni ni watanzania lakin shareholder mmoja ni mtoto wake...
  10. evan rwiza

    Jinsi ya Kusajili kampuni katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    mkuu sasa kama director hujapata kitambulisho cha taifa au director mmojawapo hajapata kitambulisho cha taifa, hapo itakuaje?
  11. evan rwiza

    Ushauri kati ya hizi gari 3: Alteza,subaru legency b4, na madza rx8.

    mimi naona Legacy b4 kko vizuri ila sipendi mikono ya milango yake ni ya kizamani
  12. evan rwiza

    kodi ya TRA

    wakuu naomba kujua kwa Limited Company ambayo imechelewa kulipa makadirio yake ya mwaka, penalty yake inakuwa calculated vipi?
  13. evan rwiza

    Mshikaji wangu ameanza kucheza forex, kila siku anauza vitu kidogo kidogo

    safi sana Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom