asante sana mkuu na hongera sana kwa muda na nguvu zako nyingi kwenye hii story ya kusisimua, nimeumia sana mke wa max kufa ange enjoy maisha mapya na familia yake
we jamaa ulikuwa unazingua kitu flan, unavyoandika sijui kama ndo unavyoongea na matendo yako yalivyo, unaonekana ni mtu wa shari shari sana, kama ulivyokuwa unamjua prisca kwa sababu unajua anakupenda, ujinga mwingne ni kama hapo ulivyomvuta mkono kwao hadi mama akashuhudia, hiyo ni kumkosea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.