Naomba mtu mwenye kampuni ya ku supply office stationaries kwenye ma taasisi kwa mfumo wa tendering, nahitaji kupata ufahamu wa wapi anachukua kwa gharama nafuu (kwa hapa hapa Tanzania) na profit margin yake inakuaje kuaje, naomba kuwasilisha.
NIDA wana changamoto, watu kila siku wamejazana kujiandikisha, hizo siku 20 zitafika na bado watu watakuwa bado wako wengi wamejazana, wanasema wiki 2 unakuwa umepata namba lakini saa nyingine zinazidi hata hizo wiki mbili na namba mtu hujapata
Sent using Jamii Forums mobile app
halotel walikujaga na line za royal bundle, zilionekana kuwa mkombozi kwa sababu angalau mtu ulkuwa unaweza kutumia internet mwezi mzima hata kama kasi sio kubwa, lakin sasa hivi imekuwa ni utapeli tu, hata kufungua pcha ya kb kadhaa ina load hata nusu saa
habari wakuu, naomba kujua bank gani ambayo ina huduma ya ku finance lpo kwa kampun? yani nikipata LPO ya kutoa huduma fulan bank gank ambayo ina huduma ya kutoa kiasi flan cha pesa hata 70% ya kiasi chote ambacho kiko kwenye LPO ili niweze kutoa hyo huduma kikamilifu then nikiishalipwa wakate...
wakuu naomba kujua, kuna jamaa yangu ana kampuni sasa anataka akachukue leseni ya biashara manispaa ila ameambiwa inatakiwa apeleke uthibitisho wa vitambulisho mf: cha kura/taifa vya shareholders ili kuthibitisha kuwa wanaomiliki hyo kampuni ni watanzania lakin shareholder mmoja ni mtoto wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.