Recent content by Eugo

  1. Eugo

    Hali sio shwari Chuo Kikuu cha Dodoma, Polisi waingilia kati kuzima maandamano

    Hiyo ndiyo serikali ya CCM bana na huku Korogwe ndiyo hayo hayo walituhaidi mkopo ila jamaa wameingia mtini mpaka leo hakuna mkopo wala nini.
  2. Eugo

    Korogwe TTC

    Asante we lin umetoka pale
  3. Eugo

    Korogwe TTC

    Jaman kama kuna mtu kachaguliwa hapa naomba anielekeze japo mahitaji ya Muhimu, maana sijapata joining instruction au kama ulisoma hapa miaka michache iliyopita, maana hata sale sijui ni ipi
  4. Eugo

    karatu health training institute- Arusha

    Wadau kuna mtu anakifahamu au anasoma hapo kwa sasa kwenye hiki chuo anipe taarifa zake kwa kifupi?
  5. Eugo

    Mamilioni ya vijana nchini wanaishi na VVU - Wasichana wanaongoza kwa maambukizi

    Habari wana JF! Takwimu hii ni kubwa sana, yatubid tubadike sasa, lakn hizi takwimu zinaongezeka kwa sababu ya Serikali yetu kupokea na kukubali kila linalokuja kutoka nje ya nchi.Nazungumza hiv kwa sababu ya hizi dawa za ARVs, mi binafisi naona hiz dawa ndizo zinazoongeza idadi ya wagonjwa, kwa...
  6. Eugo

    Matokeo wizara ya afya yametoka.

    Duh! Tupo wengi kumbe
  7. Eugo

    Kwa waliochaguliwa wizara ya afya

    Hongera kama umechaguliwa, kama unataka kujua tarehe ya kuripoti click link hii >> http://www.wavuti.com/4/post/2013/10/majina-ya-waliochaguliwa-kujiunga-na-masomo-ya-vyuo-vya-afya-201314
  8. Eugo

    Tufanye nini kwa wale tuliokosa MOH

    Wakuu 2saidiane mawazo hapa hasa kwa sisi ambao tulikua tunataman kusoma koz za afya lakn mwisho wa siku 2meachwa na vigezo tunavyo. Je, Private bado kuna chance?
  9. Eugo

    Je,kuna uwezekano wizara ya afya kutoa majina wiki ijayo?

    Hapa hata kama una tetesi huwezi sema maana MOH hawako serious
  10. Eugo

    wizara ya afya

    Wizara hii kama haipo iv!
  11. Eugo

    Siku 3 wizara ya afya

    unasikia!
Back
Top Bottom