Recent content by Eudorite

  1. E

    Ifahamu Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Rubondo

    Katavi na ngoringoro zishapewa kipaimara. Zinaruka angani sheikh.
  2. E

    Ifahamu Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Rubondo

    Seronera siyo hifadhi. Ni sehemu ya the great Serengeti. Gombe ipo tayari kwenye one of the Bomberdiers. Mikumi Gombe na Rubondo wana hadhi sawa tu kama kitulo na saadani.
  3. E

    Ifahamu Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Rubondo

    Ooh Seregeti.. Sijui ndo utaandikwa kwenye BOMBADIA ilhali hadhi yako ni ya Airbus A380 ambayo haizalishwi tena? God shall lead your way and no one on Earth shall compete with you. Hawakukosea kukueeka mkoani Mara. Where great minds resides.
  4. E

    Wakina dada wa JF acheni kufunga pm zenu

    Nisha kufungulia
  5. E

    Wakina dada wa JF acheni kufunga pm zenu

    Mwanadada aliyepo Kigoma naomba ani PM. Mwisho Ijumaa. Kisha yule wa Dodoma uta ni PM kuanzia jumapili.
  6. E

    Wakina dada wa JF acheni kufunga pm zenu

    Angalia usije tajwa wewe wa kwanza. Pengine hata kwa kusingiziwa.
  7. E

    Hatari kuu inakuja. Wanaume wanatoweka, Wavulana wanaibuka kwa kasi

    Baadhi yaweza kuwa ni MAISHA. Lakini hili la kushindwa kupiga ngozi nibtatizo. Nikiwa chuo pale hall 1 au hall 3 au hall 7 nioikuwa nawaburuza ma meti wote wa 3 chumbani overnight na kesho yake naingia kwenye mtihani. Angalieni hili la nguvu za kiume ni janga la kitaifa. Tusipozaliana waarabu...
  8. E

    Hatari kuu inakuja. Wanaume wanatoweka, Wavulana wanaibuka kwa kasi

    Tunapenda wajukuubtatizo. Hamuoi kutuzalia wajukuu. Hamna nguvu za kuzalisha wajukuu. Mnapiga moja chali matikeo yake tunawazalishia wajukuu zetu. Yaani tumewazaa nyie na tunazaa na watoto wenu.
  9. E

    Hatari kuu inakuja. Wanaume wanatoweka, Wavulana wanaibuka kwa kasi

    Hongera. Kumbuka humpangii mungu muda wako wa kiishi hapa Suniani. Si lazima uzeeke ndio uondoke. Anza kwenda kusali. Kumbuka kuwatafutia wanao cha kurithi kama wewe ulivyorithishwa. Kumbuka kuishi maisha yenye amani pasipo kugombana na yeyote. Hata siye tunao kuudhi na kukutusi usitulipizie.
  10. E

    Hatari kuu inakuja. Wanaume wanatoweka, Wavulana wanaibuka kwa kasi

    Majukumu yatawafunza kiacha kukanyagwa na vizee vya kitasha. Majukumu yatawafunza kuwaridhisha wake zao..
  11. E

    Hatari kuu inakuja. Wanaume wanatoweka, Wavulana wanaibuka kwa kasi

    Maturity ni at 18 yrs. Kwa wenye unyafusi sema tuwavumilie hadi 21. Zaidi ya hapo ni SHEEDAAA
  12. E

    Hatari kuu inakuja. Wanaume wanatoweka, Wavulana wanaibuka kwa kasi

    Unafaamu maana ya neno TEENEGER au TEEN... kwa urahosi sema TEN AGE. Hao wako wa 29+ siyo. Ma barehe ya kupiriliza miaka 18 ni ya wapi hiyo wakati wenye 18 ni watu wazima.
  13. E

    Kwa Nini coca cola na fanta za Kenya Zina radha nzuri kuliko za Tanzania?

    Kwanza ni aina ya MAJI yatumikayo. Hata ugali wa mwanza na wa dodoma vina ladha tofauti. Pili ni Viwango. Yaani nini mamlaka za udhibiti za kila nji zinataka nini kiwemo na kwa kiasi gani. Hasa SUKARI. Hapa pia inamaanisha aina ya sukari inayotumika na kiasi chake. Tatu Mazingira. Maeneo ya...
  14. E

    TANZIA: Ndugu yetu Hamza Shaaban Semboga a.k.a GAZZA ambao umetokea Jumatatu asubuhi Goodwood station in Cape Town

    Sababu ya mauajo au ugomvi. Isije kuwa ni mwanamke. Huku bongo wanawake ni wengi hadi wanatafuta waume mitandaoni
  15. E

    Wimbi la wadada kutafuta wanaume wa kuwaoa

    Kwa ufupi mchumba wa mwanao aweza kuwa demu wako wee baba kwa miaka 3 hivii. Je hapo utapeleka posa kwelii..
Back
Top Bottom