Recent content by Eternity

  1. E

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli anaiua CCM kifo cha mateso makubwa

    Mimi binafsi niliwahi tabiri kifo cha chama hiki kutokana na mwenendo. Chama hiki ni mfano wa gari lililokatika breki katika mteremko mkali halafu dereva akaweza kulitengeneza gari na yasitokee madhara. Ni mfano wa nyoka mzee anapoweza kujivua magamba yeye mwenyewe kwa uchungu mkali na...
  2. E

    JamiiForums Tanzania Hii ndege(5H-ZAI) ni ya nani na hufanya nini kwenye mbuga ya Selous?

    Hakuna jina baya hapa duniani kama JANGILI na maana halisi anaijua NYERERE Pekeake. Kwa kuwa me sina uwezo wa kuwaadhibu hao wakubwa hasa k.nana, nachukua fursa hii KUWALAANI hadharani.
  3. E

    JamiiForums Tanzania Kuporomoka kwa kasi: Je, CCM inaelekea mwisho wa kutawala Tanzania?

    WAPINZANI Wamejipa hatimiliki ya upinzani. I LIKE IT. Nakumbuka baada ya mkwamo wa katiba mpya, viongozi wa upinzani walikaa na kuafikiana kwamba wasiingie kwenye uchaguzi mkuu wa oct 2015 hadi baadhi ya mambo yashughulikiwe ikiwamo TUME HURU YA UCHAGUZI. Na wakadai watarudi kwa wananchi...
  4. E

    JamiiForums Tanzania UDA: Hatujafilisika na hatuna dalili za kufilisika

    Imekua kwa 5000 asilimia! Sanaa hizi zinanikumbusha juu ya mwandishi mmoja wa Aljazeera aliyekuwa akiripoti kuwa majeshi ya marekani yanagaragazwa vibaya Iraq na baada ya muda mfupi kifaru kikabomoa chumba cha habari na ndio ukawa mwisho wa habari. Taarifa hii inafanana sana na kauli za Awamu...
  5. E

    JamiiForums Tanzania Ni vita baridi kati ya Kikwete na Magufuli

    Hiyo vita nzuri sana maana wananchi wa kawaida tukiwa upande wa Serikali ya magufuli anaepambana na udhalimu ndani ya chama chake mwenyewe,watumishi ndani ya serikali wabadhilifu pia uovu nje ya chama. Vita hii tamu sana maana haki na kweli ndo huwa mshindi.
  6. E

    JamiiForums Tanzania Daraja la Kigamboni ni White Elephant Project, Hatulihitaji!

    Hoja yako imeegemea zaidi kukosoa zaidi ya kujenga ndo maana unasema halihitajiki daraja la kigamboni. Itakuwa ngumu kwa unaemkosoa kukusikiliza sababu ni kama vile una chuki au vivu mbaya. Watu wa aina yako ukipotezwa usijemlaumu yeyote maana hizi si zama zile...
  7. E

    JamiiForums Tanzania Msema kweli mpenzi wa Mungu. Daraja la Kigamboni ndio lilinifanya kumpa kura yangu Dk. Magufuli

    Hakika namshukuru Mungu kwa kutupa Mh Magufuli ingawa binafsi sikumchakua. Niliamini mfumo ungemdhibiti kufanya kaz, kumbe katiba iliyopo inamfanya Rais aliyepo madarakani kuwa mtu na ye ndo mfumo au system yenyewe. Kinachotokea kigamboni hata me binafsi sikuamini kama ingekuwa kweli! Rais...
  8. E

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi Z'bar Feb. Ni wa marudio baada ya majadiliano ya kina

    Haiwezekani kumrudisha mtoto aliezaliwa akiwa mweupe tumboni mwa mamaye ili azaliwe upya akiwa mweusi.
  9. E

    JamiiForums Tanzania Waziri Prof. Ndalichako aibana NECTA kuhusu matumizi ya GPA

    Kufuta kila kitu na kuanza upya si ujinga. By mrisho mpoto.
  10. E

    JamiiForums Tanzania Kashfa ya makontena yamuibua Ridhiwan Kikwete!

    Eti anasema mwenye ushahidi aulete! Hivi kweli mvuja jasho kariakoo au mkulima pale nyamongo anawezaje kumrekodi au kunasa ushahidi wa picha ya mtu aishiye IKULU anaezungukwa na usalama wa taifa na kila aina ya ulinzi? Na hata kama anao atampelekea nani? Ndio maana unajigamba tulete ushahidi...
  11. E

    JamiiForums Tanzania Home Shopping Centre ndio waliolipia Mabango ya Kampeni ya Magufuli Nchi nzima

    Kwangu me Rais wa awamu hiyo alitawala zaid ya miaka 10. Ilikuwa ukisoma magazeti, ukitazama tv, ukickiza radio kati ya habari nzuri ilikuwa moja kati ya ishirini. Tusongembele tusitizame nyuma
  12. E

    JamiiForums Tanzania Jenerali Ulimwengu: Staili za 'zimamoto' na ziara za kushtukiza haziendeshi serikali...

    Ungetoa maoni ungesikilizwa lakini KUKOSOA hakufai unaweza potezwa kama Bibi Titi na Kambona enzi zile. Katiba mpya ni muhimu lakini lazima wananchi wapevuke fikra kwa ujumla wao. Kwa Sasa tumempata Rais ALIYE KATIBA NA MFUMO WENYEWE. Anaweza kutuvusha hapa tulipo hivyo punguzeni miluzi mingi...
  13. E

    JamiiForums Tanzania Dk. Joyce Ndalichako atosha wizara ya elimu

    Chuki inakusumbua.tumetoka gizani tunaelekea pazuri.
  14. E

    JamiiForums Tanzania Dk. Joyce Ndalichako atosha wizara ya elimu

    Umepata waziri mh rais.
Back
Top Bottom