Recent content by Esyliver

  1. E

    Je, ulijisikiaje siku ya kwanza ulipoijaribu bangi? Mwenzenu ilikuwa hivi...

    Hujavuta yenyewe, nilijaribu mimi weee nilitafuta maji ya kunywa kwenye umande wa majani na siitaki tena tangu siku hiyo.
  2. E

    Natafuta mchumba, mume mtarajiwa

    Masharti kama unampa ajira huyo mwanaume?
  3. E

    Ni kipi kitakachomshawishi Mtanzania kuipa CCM kura 2020?

    Hamna haja ya kuwa na mfumo wa vyama vingi maana upinzani Africa ni gonjwa la moyo, hakuna uhuru na viongoz nao vigeu geu leo huku kesho kule, siasa hovyo.
  4. E

    Ni kipi kitakachomshawishi Mtanzania kuipa CCM kura 2020?

    Unategemea sisiemu itashindwa? Mimi nikiwa mzima hata sijisumbui kwenda kupiga kura.
  5. E

    Nimekuta mafuta ya KY na babycare kwenye mkoba wa mchumba wangu

    Kama mimi namuuliza kama ni moto uwake tu kuliko kuumia kimoyo moyo.
  6. E

    Kiama: Vocha za simu kukatwa kodi ya VAT kabla ya kuzitumia!

    Nanunua tigo pesa, nako watakata?
Back
Top Bottom