Recent content by Eston Mwamboma

  1. Eston Mwamboma

    Kwa wale tunaosubiri Ajira za Mgambo kwa mwaka 2019, tupeane taarifa hapa

    Hahahaha et ngoja waje Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Eston Mwamboma

    Kwa wale tunaosubiri Ajira za Mgambo kwa mwaka 2019, tupeane taarifa hapa

    Wadau habari zenu, Kwa wale wenye nia ya dhati kabisa kwenda mafunzo ya mgambo naomba tupeane nyuzi spesheli na updates kuhusu mafunzo ya mgambo kwa mwaka huu 2019 Lini tutarajie kutangazwa na vitu vipi vya kuandaa mapema. Naleta hoja kikaangoni Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Eston Mwamboma

    JKT 2018 updates

    Ahaaaa sawa so unanishauri baada ya miezi kama 2 mbele nianze kutembelea tembelea mbao za matangazo za wilayani?, maana niko dar mkuu.. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Eston Mwamboma

    JKT 2018 updates

    Ahaaa sawa na hayo matangazo hua kila kata yanafika ofic zip, na had uje upewe chet mnajifunza kwa muda gani?? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Eston Mwamboma

    JKT 2018 updates

    Kaka hayo mafunzo yameisha, na intake mpya ni lini nahitaji kuja kujifunza hayo mafunzo ya mgambo aiseee. Njsaidie mkuu taarifa kamili katika ilo pliiz[emoji120][emoji120][emoji120]. Au kwa msaada 0752849498 Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Eston Mwamboma

    JKT 2018 updates

    Hapana sio kweri, na mgambo lini wadau wanatangazwa hua sinaga ratiba kamili na matangazo ya mgambo aisee. Mwenye kufaham anijuze pliz[emoji120][emoji120][emoji120] Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Eston Mwamboma

    JKT 2018 updates

    Hiyo nafasi ya mafunzo ya mgambo hua zinaanza kutangazwa lini kila mwaka??? Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Eston Mwamboma

    ONYO kwa wanaonunua simu humu

    Oppo Phone A37fw Storage 16gb Bei 200k Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Eston Mwamboma

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Weka bei babu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Eston Mwamboma

    TRA yatangaza nafasi za kazi 131 kwa watanzania wenye sifa

    Mhhh muda wa watu kujazana tena uwanja wa taifa umefika Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Eston Mwamboma

    Nyaraka muhimu kwa Maombi ya Kazi; Barua, CV /Resume na Rejea

    Akili ni kichwani kwako vitu vingine lazima ujiongeze Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Eston Mwamboma

    Karibuni tuichambue simu ya Oppo f3 Plus

    Mimi nimenunua Oppo 37fw mkuu kwa mtu baada ya vyuma vyake kuleta shida nimebahatika kununua kwa laki tu ila ni hatari hizo simu camera ni balaa sio ya nchi hii. Kuna mdau mpya katokea kuipenda sana tatizo sijajua nimeelekeze akaichukulie sehem gani kama unafaham kwa hapa bongo nielekeze mtoa...
Back
Top Bottom