Kweli wajinga ni wengi humu Tanzania na wewe ni mmojawapo. Lissu huyu aliyeanza kutetea wazungu baada ya kumwonjesha asili, linganisha Lissu wa 2000 na 2015, unaweza kudhani ni Lissu wawili. Walivyo uza Chama kwa Lowassa na kuanza kukana maneno yake, ndo nilimwona Lissu hayuko sawa.
Nimeona michango yenu. Lakini imetupasa kuwa waelewa kwani yeye Rais kasema hana uhakika kama changamoto zilizopo zisipotatuliwa sasa, yule atakayekuja kama atazitatua. Tumewaona waliotangulia, walifanya nini cha zaidi kuhusu hizi changamoto? Tusipende kuponda tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.