Hili Hitimisho ni darasa tosha! Linamafunzo mengi sana kwa watu wa rika zote, uwe mzazi, uwe kijana, binafsi nimepata mafunzo ya kutosha, kuna watu nilikuwa nawalaumu ila kuanzia sasa siwalaumu tena! Kumbe tuko kwenye safari tofauti, wacha niendelee na safari yangu nikiwa na amani kabisa...
Umenikumbusha nchi fulani miaka fulani mkuu wa kaya alizibana hizi taarifa, na CAG mmoja akataka kwenda kinyume na mkuu wa kaya na kazi ikawa mwisho wake, na wakazi wa kaya ile wakaya hawajui chochote ikawa ni kusifu na kuabudu tu.
Swali la kujiuliza hilo tatizo aliloliongelea Mpina limeisha?
Na kama lipo je Mpina ana hati miliki yake?
Tufike mahali tuache kupopoana bila sababu! Lissu kaongelea mfumuko wa bei ambao bado upo, na hata wewe mkuu panda jukwaani paza sauti mfumuko wa bei bado upo juu hali ni mbaya mkuu.
Uingereza haiwezekani, huwezi kuomba visa ya uingereza halafu ukifika ujilipue
mwambie aende Japan! Ndio inawakubali watu wa hivyo, ila tatizo lao wajapan hawakupi malazi wala chakula na mwanzoni wanakupa permit ya miezi mitatu mitatu,ambayo haikuruhuru kufanya kazi, hapo ndio akili itakukaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.