Recent content by essau mbena

  1. E

    Swali kwa mashabiki wa Mbwana Samatta!!

    Kuugua sio kufa atarudi kwenye form tu
  2. E

    Mbowe achunguzwe kwa vifo vya Daniel John na Aquilina

    Mmmmmmm! Kazi ipo siasa za Tanzania
  3. E

    Real madrid

    Wakajipange tena msimu ujao
  4. E

    Simba imepiga bismillah kuianza safari

    Mpira unamatokeo matatu simba wamepata moja kati hayo so tunaendelea kupambana mpaka kuchukua kombe
  5. E

    Gadiola amenipa funzo

    Wanatisha city
  6. E

    Mashabiki wa Simba acheni utoto, ya nini kujisifia mmewasajili wachezaji ambao hamjawasajili?

    Kama hufuatulii mwenendo Wa club yako na hujui chochote kaa kimya,asante kwasi yupo simba rasmi
  7. E

    Lionel Messi ni Mungu wa mpira ulimwenguni na Cristiano Ronaldo ni Lucifa wa mpira duniani

    Ndiyo messi na Ronald naye anajua pia angalieni nani ktk kikosi chake anawatu wazuri wanao mchezesha na mastaa ktk club zao
  8. E

    Lionel Messi ni Mungu wa mpira ulimwenguni na Cristiano Ronaldo ni Lucifa wa mpira duniani

    Kama mtoa mada ni mungu nitakubaliana na ww ila nahisi ni binadam mwenzangu huwezi kulazimisha maji kupanda mlima ,kwahyo hayo nimapenzi yako binafsi kwa messi sio wote watakuwa kama ww
  9. E

    Manchester united vs Young Africans.

    Yanga kocha uwezo wake umefika mwisho
  10. E

    Ukiona hivi jua umechokwa msela wangu

    Ukiyumba kiuchumi lazima upigwe chini coz ulimpata wakati unauchumi
  11. E

    Ukiona hivi jua umechokwa msela wangu

    Ila inategemea huyo mwenzio ulimpata kwa mazingira gani kama ulimpata kwakuwa ulikuwa na pesa na sasa pesa imezingua lazima hayo yatatokea tu,pia kama true love inabidi uweke vocha kwake ndipo utaona SMS na kukupigia
Back
Top Bottom