Ukiona hivi jua umechokwa msela wangu

Ukiona hivi jua umechokwa msela wangu

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
24,814
Reaction score
44,611
Aman iwe nanyi wapendwa


Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu

Ukiona mwenza wako kafikia hatua hii jua askar wangu umechokwa na angalia ustalabu mwingine wa mapenz hapa mjin


Ukiona cm unapiga na hapokei had mara tatu jua umechokwa.

Ukiona hata msg ana chelewa kujibu jua umechokwa msela wangu.

Ukiona kabadilika anajibu kwa nyodo nyodo sana na majibu ya mkato jua umechokwa mwanangu

Ukiona anamaliza had siku nzima hajakutafuta hata kwa WhatsApp au msg za kawaida jua umechokwa kamanda.

Ukiona unapiga cm na cm inapokelewa na mtu kisha unaambiwa mwenye cm hayupo jua umechokwa kamanda wangu.

Dawa ya kuchokwa ni moja tu ili upunguze maumivu tafuta hata jimama likupoze msela

Ni hayo tu wako mtiifu NANYUPU


LONDON BABY
 
Utakuwa huna tofauti na mla ugoro, being captive of your own choice
 
Mi huwa sizingatii sana mawasiliano hujui mwenzio anafanya nn muda huo unampigia hata kujibu msg unajuaje km ana mb au vocha.
Inaelekea we bado kijana mdogo kwenye haya mambo
Hapana mkuu hiyo inatakiwa iwe mara moja moja siyo kila siku
Mi huwa sizingatii sana mawasiliano hujui mwenzio anafanya nn muda huo unampigia hata kujibu msg unajuaje km ana mb au vocha.
Inaelekea we bado kijana mdogo kwenye haya mambo
 
Haja jibu msg na una uhakika salio au Mb kwenye simu yake zipo, kuna msg zingine hazihitaj majibu zaidi ya OK kwa mfano akituma/ukituma msg "Beby I love you" ukijibiwa OK ni kosa hapo??
 
Ila inategemea huyo mwenzio ulimpata kwa mazingira gani kama ulimpata kwakuwa ulikuwa na pesa na sasa pesa imezingua lazima hayo yatatokea tu,pia kama true love inabidi uweke vocha kwake ndipo utaona SMS na kukupigia
 
Haja jibu msg na una uhakika salio au Mb kwenye simu yake zipo, kuna msg zingine hazihitaj majibu zaidi ya OK kwa mfano akituma/ukituma msg "Beby I love you" ukijibiwa OK ni kosa hapo??
Ni kosa kubwa sana inatakiwa aijibu i love u 2
 
Ila inategemea huyo mwenzio ulimpata kwa mazingira gani kama ulimpata kwakuwa ulikuwa na pesa na sasa pesa imezingua lazima hayo yatatokea tu,pia kama true love inabidi uweke vocha kwake ndipo utaona SMS na kukupigia
Aisee kwahiyo ukiyumba lazima upigwe chin siyo
 
Back
Top Bottom