Aina: sanya
Bei:1,550,000
Ipo Dar Bei inapungua ;call 0767795847 Ina namba CZ..... na ipo kwenye hali nzuri hata km 500 haijafikisha. Kwa anaehitaji namtumia picha whatsapp
Aina: sanya
Bei:1,550,000
Ipo Dar
Bei inapungua ;call 0767795847
Ina namba CZ..... na ipo kwenye hali nzuri hata km 500 haijafikisha.
Kwa anaehitaji namtumia picha whatsapp
Poleni sana majeruh na wote mlofiwa, nasaha kuwa madereva wawe makini wawapo safarini na bila kusahau traffic kutekeleza majukumu yao bila kusahau kukagua madereva kama wapo wawili kwa safar ndefu kwan ndo taratibu zilivyo.
Nahitaji kujenga nyumba kwa sasa,idadi ya vyumba ni vinne, jiko, store, public toilet,vyote ndani kwa ndani" msaada unahitajika hapa
1:kwa makadirio ya jumla niandae tsh. ngapi mpaka nyumba kukamilika.
2:kwa wale wataalam wa kupaua(kupiga bati) ni kiasi gani cha bati kitahitajika hapo, just by...
Nina android 620, mtoto wangu kachezea na sasa simu haziingii kabisa lakini nikiangalia kwenye received nakuta simu zote zilizoingia bila simu kuita.nisaidieni kutatua tatizo hilo wadau.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.