Recent content by esir hayatou

  1. E

    Pikipiki inauzwa

    Aina: sanya Bei:1,550,000 Ipo Dar Bei inapungua ;call 0767795847 Ina namba CZ..... na ipo kwenye hali nzuri hata km 500 haijafikisha. Kwa anaehitaji namtumia picha whatsapp
  2. E

    Pikipiki inauzwa

    Aina: sanya Bei:1,550,000 Ipo Dar Bei inapungua ;call 0767795847 Ina namba CZ..... na ipo kwenye hali nzuri hata km 500 haijafikisha. Kwa anaehitaji namtumia picha whatsapp
  3. E

    Msaada: Basi zuri Moshi - Dar

    Kama unataka kununua basi nitafute
  4. E

    Manyoni: Basi la Bunda lagongwa na treni na kuua

    Poleni sana majeruh na wote mlofiwa, nasaha kuwa madereva wawe makini wawapo safarini na bila kusahau traffic kutekeleza majukumu yao bila kusahau kukagua madereva kama wapo wawili kwa safar ndefu kwan ndo taratibu zilivyo.
  5. E

    Wakuu, mwenye uzoefu kuhusu ujenzi wa nyumba

    Wakuu, kesho nitawawekea mchoro ili tujadili vizuri.
  6. E

    Wakuu, mwenye uzoefu kuhusu ujenzi wa nyumba

    Mkuu nimekusoma ila lacasa bado ipo
  7. E

    Wakuu, mwenye uzoefu kuhusu ujenzi wa nyumba

    Nahitaji kujenga nyumba kwa sasa,idadi ya vyumba ni vinne, jiko, store, public toilet,vyote ndani kwa ndani" msaada unahitajika hapa 1:kwa makadirio ya jumla niandae tsh. ngapi mpaka nyumba kukamilika. 2:kwa wale wataalam wa kupaua(kupiga bati) ni kiasi gani cha bati kitahitajika hapo, just by...
  8. E

    Kunauwezekano?

    Wakuu nisaidieni mawazo,kama kunauwezekano wa kupata aljazeera channels 1-10. Kupitia madishi ya kawaida ya FTA, kwa mwenye ujuzi animegee na mimi.
  9. E

    Kukoroma usingizini: Fahamu chanzo na tiba yake

    Mkuu usijali audience ukiamua kutoa ushauri toa huwezi jua wangapi watakuelewa
  10. E

    Msaada jamani,

    Nina android 620, mtoto wangu kachezea na sasa simu haziingii kabisa lakini nikiangalia kwenye received nakuta simu zote zilizoingia bila simu kuita.nisaidieni kutatua tatizo hilo wadau.
  11. E

    call me hayatou

    With a great pleasure i wanna say HI to JF members If we are together, say something.
Back
Top Bottom