Ali kamwe ni raia na rais ni mwajiriwa wa raia wa nchi husika je kama raia anakosa haki ya kutoa maoni na malalamiko kwa mwajiriwa wake ambae ni Rais!!
Wanasheria wa yanga wafanye kitu ili FIFA walete rungu lao tukose wote maana simba na baba yao tff wanaleta upumbavu hata kama kwenda mahakamani au vyovyote vile ilimladi tufungiwe tu kwa muda mrefu ili tujifunze na wajingawajinga mfano wa kalia na wenzie waache ujinga wao
Kelele zote hizo anajua baada ya kuwaingiza Iran na hisbullah katika makubaliano yao ya kiujanjaujanja wasipigane hawataweza tena kuingilia huyo Vita ya Israel na hamasi kumbe sivyo hivyo vidume vipo pembeni wanamuangalia tu ayazue wampelekee moto
Israel ujanja mwingi mbele kiza Arab spring waliratibu wao wakidhani wakishawatawanya nchi za kiarabu wataishi kwa amani lakini leo bado wapo matatizoni
Marekani kaona toto lake linafumuliwa Lina hali mbaya haraka anaanzisha mazungumzo kwa namna nyingine kaweka mtego hisbullah akikataa aonekane mkaidi mbona Gaza yeye ndio yupo mbele kukataa mazungumzo kwa kuwa anaona toto lake hapati upinzani sawia kama ilivyo huko kwa hisbullah
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.