tatizo lenu mnawakimbilia wenye vitambi mkijua ndo penye pesa.
ni sawa lakin ujue huwez pata yote kwa wakat mmoja.
njooni huku vijijini mtakumbana na mishipa yamaaaana. ila huku hakuna shiling ni kibarua tuu.
hakyanani sijui watu mnamaisha gani hadi kufikia kua mnaomba ushar juu ya kupokea pesa au laa?.
ushaur wang:
chukua pesa, hapo adhabu kwa mwanaume imeshakamilika tena msamehe kabisa.
rudi kwa mama neema,
katika hiyo jiwe tano, chukua laki moja mtafute dada poa ambae ni kauz zaidi...
kiukwel si nzur na wewe mwenyew unalijua hilo sema2 unajibabaisha apa.
iko ivi wew apa unaangalia maisha, ila pia hujiamin.
ninachowez kukushaur ni kwamb:
ridhiki ya mtu iko mikonon mwa mtu, si dhambi kwa wew kupiga mawe kwa huo mmama, piga pesa acha uoga, maisha kunajia nying sana za...
kwakua kanuna tu, basi hiyo si mbaya sana.
we nenda kasome maana si kosa(kosa ni kwenda kuchez uko na kumsaliti)
akina mama yeyoo huwa ni watu wastaarab sana sijui huyu wako ana pepo gani?
ila we fanya unayoyaona ni sahihi na mwisho wa siku atakujakufurahiya. elewa kila mtu na uelewa wake na...
yawezekana pia kua ni tabia ya mtu.
binafsi niko hivyo na nashindwa kubadilika, yaani nimeshindwa kabisa kua mtu wa kuonyesha upendo hata kama nampenda mtu kiasi gani. so usikurupuke kwa maamuzi unao mda wa kutosha kuendelea kujiridhisha na hiyo hali....
wakuu tusiogope, kwa mimi ambae niko huku PAJE NA MAKUNDUCHI ni ngome ya ccm kwakeli hata ckutarajia kama tungepata hizo kura tulizopata..
hii ni dalili nzur saana kwetu tuendelee kusikilizia matokeo.
pamoja na kua tunaoa ili tupate familia, lakin lengo kuu ni kujihakikishia kua yale mambo yetu yanapatikana pasipo na shaka wala usumbufu wowot kwa mda uutakao. sas habari za ratiba tena? taraka inamhusu uyo:-)
yeah, ni kweli na ni kawaida kuwekewa mafuta mana si kila mtu anaweza kuzitumia vile vyombo, na ndo mana wapo wafanyakaz pale. au mkuu we ulitaka wakifika tu pale kila mmoja aweke mwenyew?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.