mkeka bet wako fasta sana kuweka na kutoa hela. ukitoa hela inaingia fasta sana less than 5 minutes. meridian inaweza chukua zaidi ya wiki tatizo la mkekabet bonus yao ndogo. sijajua kama meridian wanatoa bonus
nakushauri kama mtaalamu wa Michezo
Utangulizi
Suala la unene overweight kwa kjamii za watanzania kwa sasa imekuwa shida sana kwa sababu ya lifestyle yetu na vyakula tunavyokula. Watanzania wengi hawashiriki kwenye michezo kama watu wa nchi zingine na dhana ya kwamba mtu mwenye kitambi ndiye...
Siko hapa kukuharibia biashara yako ingawaje napenda nitoe ushauri kidogo kwa wana Jf na umma kwa ujumla.
ndiyo kuna madhara makubw sana ya kuwa na mafuta mengi mwilini na uzito mkubwa. Baadhi ya hayo madhara ni kuwa na obesity, magonjwa a moyo, kisukari, Bp, cancer, ugonjwa wa miguu etc...
inatakiwa ifike mahali mashabiki wa simba na yanga wakubali kwamba kwa sasa azam ni timu kubwa. zile zama za a two horse league kati ya simba na yanga na simba zimeisha
Binafsi nawashangaa sana wanachadema na Ukawa wanaolalamika wanaccm kuhamia ukawa.
lengo la Ukawa kumkaribisha ni kwa sababu walijua kwa influence ambayo lowasa anayo watapata wafuasi wengi kutoka ccm.
kwa kuwa ukawa wameishapitisha wagombea wao katika majimbo yote ina maana mtu anayehama...
mtoa mada inawekana haujui unachokiongelea hapa
huyo nyambui amekuwa katibu mkuu wa riadha Tanzania labda ungetueleza yeye kama kiongozi amefanya nini katika maendeleo ya mchezo wa riadha. amefanya training ngapi za makocha? ameandaa mashindano mangapi ya kitaifa au kimataifa nchini? amefanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.