Kumtukana magufur unadhmbi wewe huyo mange nimtanzania kwahiyo mtoa mada aseme kuwa watanzania kwann mnamtukana Mr Presda na huku nikulea ujinga infact mtanyooka tu
Lakini mm naona nape ajue kwamba hi serikali hajali mambo yachama kama ilivokua mwanzo nape analalama ameangaikia chama ukimsiliza magufuli anasema nilichukua form pekeangu ckushikwa mkono na mtu kwahiyo nafanya kaz yangu kwa uhuru sipangiwi!??
kwa upande wangu mkuu sijaelewa mnyonge na mtu wahali ya chini ninani kwakua unga bei sukari bei ges bei haya hizo VAT haya maskin waliopata majanga kule bukoba? Angalieni pande zote then mlisemehe lasivyo mta ua watu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.