Unataka Bagonza anyanyuke na kufanya nini serikalini? Yeye anashauri na serikali inapaswa kuangalia kama ushauri wake unafaa iufanyie kazi. Ushauri unaweza kuletwa kwa njia ya maswali fikirishi. Hapo anasema watu wawe huru kutoa mawazo yako bila minyororo.
Kama wanatukana wakiwa wamejifungia ndani, milango, madirisha na pazia zimefungwa kwa nini uhangaike nao? Wasubiri wakitoka nje na hayo matusi yao ndo uwakamate. Kwa nini upoteze muda kuchunguza mke na mme wanateta nini chumbani kwao wakati polisi wana mambo mengi ya maana ya kufanya.
Sent...
Kama no suala la kodi, mbona hata wabunge wenyewe mishahara yao haikatwi kodi ya paye? Labda tuanzie hapo kabla ya kwenda kanisani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kila anayekuwa upinzani hana maana? Prof. Mkumbo alikuwa wapi? RC Kilimanjaro alikuwa wapi? Waitara alikuwa wapi? Hivi unaweza kusema Mh Rais alikosea kuwateua? Hata Zitto akiteuliwa leo au Mbowe watakuwa na umuhimu wao pia. Si kila aliye upinzania hana akili.
Lakini sijui hii sheria kuwa mtu akishatangazwa kupita bila kupingwa NEC haiwezi kuingilia imeanza lini. Nakumbuka 2010 Masha alitangazwa kupita bila kupingwa lakini Wenje akakata rufaa NEC na uamuzi wa kuwa Masha amepita bila kupingwa ukatenguliwa na baadae Wenje akabeba jimbo. Wakati huo Wenje...
Swali la ajabu Kweli! Hiyo vetting imefanyika lini hadi akaonekana Waitara ni bora kuliko wenyeji? Hata kama ni kuwatamanisha wanaotafutwa, ni kuwaumiza walio ndani. Kwanza yeye amekatika mkia, lakini wenye mikia imara na waaminifu kwa chama, bado sio kitu. Tukumbuke wanaCCM wana mioyo ya nyama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.