kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,078
- 10,385
CCM weziiiiiiiii
Chuo kikuu kinapaswa kuzalisha watu critical, objective na intellectual ambao kusudi lao kubwa ni kutatua matatizo yaliyoko kwenye jamii. Ikiwa wasomi kama hawa wanajinasibu na vyama badala ya kuchambua matatizo yaliyopo na kutafuta ufumbuzi ujue hapo kuna walakini mkubwa sana miongoni mwa wasomi.Hawa waalimu watarajiwa, tusiwaone mnakuja kulalamika maisha magumu wakati DUCE kimekuwa kama chuo cha ideology cha CCM.
Ww naye ni wa kuhurumiwaTuseme ukweli tu, hivi upinzani kuna nini cha maana....fikirieni eti mtu kama Zitto ama Mbowe ndiyo awe kiongozi wa nchi hii, si ushenzi huu jamani? Ukweli ni kwamba hapa Tanzania hakuna kiongozi yeyote toka upinzani mwenye darubini ya maendeleo kama Magufuli. Walishindwa kina Mwinyi, Mkapa na Kikwete, waweze hawa wehu wapiga kelele wasiojitambua kweli?
Tatizo lako ni miwani uliyovaa. Haikusaidi kuona vizuri, bali inakuzidishia uono duni.Tuseme ukweli tu, hivi upinzani kuna nini cha maana....fikirieni eti mtu kama Zitto ama Mbowe ndiyo awe kiongozi wa nchi hii, si ushenzi huu jamani? Ukweli ni kwamba hapa Tanzania hakuna kiongozi yeyote toka upinzani mwenye darubini ya maendeleo kama Magufuli. Walishindwa kina Mwinyi, Mkapa na Kikwete, waweze hawa wehu wapiga kelele wasiojitambua kweli?
Tatizo lako ni miwani uliyovaa. Haikusaidi kuona vizuri, bali inakuzidishia uono duni.Tuseme ukweli tu, hivi upinzani kuna nini cha maana....fikirieni eti mtu kama Zitto ama Mbowe ndiyo awe kiongozi wa nchi hii, si ushenzi huu jamani? Ukweli ni kwamba hapa Tanzania hakuna kiongozi yeyote toka upinzani mwenye darubini ya maendeleo kama Magufuli. Walishindwa kina Mwinyi, Mkapa na Kikwete, waweze hawa wehu wapiga kelele wasiojitambua kweli?
Tuseme ukweli tu, hivi upinzani kuna nini cha maana....fikirieni eti mtu kama Zitto ama Mbowe ndiyo awe kiongozi wa nchi hii, si ushenzi huu jamani? Ukweli ni kwamba hapa Tanzania hakuna kiongozi yeyote toka upinzani mwenye darubini ya maendeleo kama Magufuli. Walishindwa kina Mwinyi, Mkapa na Kikwete, waweze hawa wehu wapiga kelele wasiojitambua kweli?
Ukumbi huu ni mali ya serikali.CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA DAR ES SALAAM (DUCE) CHASEMA CCM NDIO CHAGUO LAO KWA SASA.
Tarehe 23 desemba 2018 Ndg Said Said Nguya Afisa wa CCM Makao makuu ameshiriki katika Mkutano Mkuu wa Tawi la Chuo Kikuu Kishiriki Cha Dar es salaam (DUCE) uliyofanyika katika ukumbi wa Iddi Nyundo Wilayani Temeke kama Mgeni Mzungumzaji.
Katika mkutano huo ulioongozwa na Mwenyekiti wa Tawi Ndg Paul Kawawa umehudhuriwa na wanafunzi takribani 320, ambapo Ndg Said Said Nguya ametumia fursa hiyo kuwaeleza wanafunzi mambo makubwa ya maendeleo yanayofanywa na Serikali ya CCM inayoongozwa na Ndg John Pombe Joseph Magufuli, hivyo amewataka vijana nchi nzima wawe walinzi kwa yeyote anayetaka kumvunja moyo ama kumkatisha tamaa kiongozi wetu.
Wakati huo uo kumefanyika zoezi la ugawaji wa kadi kwa wanachma wapya wa CCM takribani 220, na kwa kauli moja wameahidi kuwa wanachama waaminifu kwa CCM siku zote.
Wamesema wamefikia hatua hiyo kutokana na kazi kubwa inayofanywa na Rais wetu na Mwenyekiti wa CCM Ndg Magufuli hasa katika utoaji wa mikopo ya wanafunzi wa Elimu ya juu, Ununuzi wa Ndege, Ujenzi wa Reli ya kisasa, ujenzi wa mradi mkubwa wa umeme wa Stieglers gorge n.k ambapo yote haya yanalenga kuipeleka Tanzania katika uchumi wa kati.
Mkutano huo pia umehudhuriwa na mjumbe wa mkutano mkuu wa Taifa Mkoa wa Tanga Ndg Fredrick Chagoha, Mjumbe wa Halmashauri kuu Wilaya ya Mkuranga Ndg Bofu, na viongozi wengine ambao wote kwa wakati tofauti wamewaasa Wanafunzi mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na Nidhamu, bidii ya kazi pamoja na kujitolea katika kufikia malengo.
Imetolea na Katibu Hamasa
TAWI LA CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA DAR ES SALAAM ( DUCE).
View attachment 976375View attachment 976376View attachment 976377
CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA DAR ES SALAAM (DUCE) CHASEMA CCM NDIO CHAGUO LAO KWA SASA.
Tarehe 23 desemba 2018 Ndg Said Said Nguya Afisa wa CCM Makao makuu ameshiriki katika Mkutano Mkuu wa Tawi la Chuo Kikuu Kishiriki Cha Dar es salaam (DUCE) uliyofanyika katika ukumbi wa Iddi Nyundo Wilayani Temeke kama Mgeni Mzungumzaji.
Katika mkutano huo ulioongozwa na Mwenyekiti wa Tawi Ndg Paul Kawawa umehudhuriwa na wanafunzi takribani 320, ambapo Ndg Said Said Nguya ametumia fursa hiyo kuwaeleza wanafunzi mambo makubwa ya maendeleo yanayofanywa na Serikali ya CCM inayoongozwa na Ndg John Pombe Joseph Magufuli, hivyo amewataka vijana nchi nzima wawe walinzi kwa yeyote anayetaka kumvunja moyo ama kumkatisha tamaa kiongozi wetu.
Wakati huo uo kumefanyika zoezi la ugawaji wa kadi kwa wanachma wapya wa CCM takribani 220, na kwa kauli moja wameahidi kuwa wanachama waaminifu kwa CCM siku zote.
Wamesema wamefikia hatua hiyo kutokana na kazi kubwa inayofanywa na Rais wetu na Mwenyekiti wa CCM Ndg Magufuli hasa katika utoaji wa mikopo ya wanafunzi wa Elimu ya juu, Ununuzi wa Ndege, Ujenzi wa Reli ya kisasa, ujenzi wa mradi mkubwa wa umeme wa Stieglers gorge n.k ambapo yote haya yanalenga kuipeleka Tanzania katika uchumi wa kati.
Mkutano huo pia umehudhuriwa na mjumbe wa mkutano mkuu wa Taifa Mkoa wa Tanga Ndg Fredrick Chagoha, Mjumbe wa Halmashauri kuu Wilaya ya Mkuranga Ndg Bofu, na viongozi wengine ambao wote kwa wakati tofauti wamewaasa Wanafunzi mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na Nidhamu, bidii ya kazi pamoja na kujitolea katika kufikia malengo.
Imetolea na Katibu Hamasa
TAWI LA CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA DAR ES SALAAM ( DUCE).
View attachment 976375View attachment 976376View attachment 976377
No, huyo mwana Lumumba, anataka kutuchafulia chuo chetu, ....kupewa ukumbi kufanyia mkutano wao haimanishi Duce imekuwa CCM.Walimu watarajiwa. Nikikosa kazi mnaanaa kulalia. Idiots
Hata wewe mwenyewe hujui uasimamia nini!Marais wastaafu hawastahili heshima hata kidogo, wametuyumbisha sana as a nation. Kwa wenzetu wanauliwa ila hapa Tanzania wanalindana tu na ndiyo maana ninaichukia CCM ila upinzani inatuangusha kwani hakuna wa maana kule, ni uozo mtupu.
Hivi ajira za walimu zimetangazwa ?CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA DAR ES SALAAM (DUCE) CHASEMA CCM NDIO CHAGUO LAO KWA SASA.
Tarehe 23 desemba 2018 Ndg Said Said Nguya Afisa wa CCM Makao makuu ameshiriki katika Mkutano Mkuu wa Tawi la Chuo Kikuu Kishiriki Cha Dar es salaam (DUCE) uliyofanyika katika ukumbi wa Iddi Nyundo Wilayani Temeke kama Mgeni Mzungumzaji.
Katika mkutano huo ulioongozwa na Mwenyekiti wa Tawi Ndg Paul Kawawa umehudhuriwa na wanafunzi takribani 320, ambapo Ndg Said Said Nguya ametumia fursa hiyo kuwaeleza wanafunzi mambo makubwa ya maendeleo yanayofanywa na Serikali ya CCM inayoongozwa na Ndg John Pombe Joseph Magufuli, hivyo amewataka vijana nchi nzima wawe walinzi kwa yeyote anayetaka kumvunja moyo ama kumkatisha tamaa kiongozi wetu.
Wakati huo uo kumefanyika zoezi la ugawaji wa kadi kwa wanachma wapya wa CCM takribani 220, na kwa kauli moja wameahidi kuwa wanachama waaminifu kwa CCM siku zote.
Wamesema wamefikia hatua hiyo kutokana na kazi kubwa inayofanywa na Rais wetu na Mwenyekiti wa CCM Ndg Magufuli hasa katika utoaji wa mikopo ya wanafunzi wa Elimu ya juu, Ununuzi wa Ndege, Ujenzi wa Reli ya kisasa, ujenzi wa mradi mkubwa wa umeme wa Stieglers gorge n.k ambapo yote haya yanalenga kuipeleka Tanzania katika uchumi wa kati.
Mkutano huo pia umehudhuriwa na mjumbe wa mkutano mkuu wa Taifa Mkoa wa Tanga Ndg Fredrick Chagoha, Mjumbe wa Halmashauri kuu Wilaya ya Mkuranga Ndg Bofu, na viongozi wengine ambao wote kwa wakati tofauti wamewaasa Wanafunzi mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na Nidhamu, bidii ya kazi pamoja na kujitolea katika kufikia malengo.
Imetolea na Katibu Hamasa
TAWI LA CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA DAR ES SALAAM ( DUCE).
View attachment 976375View attachment 976376View attachment 976377
Una u
Una umri gani? Unaonekana kinda usiyetaka kujua na umelishwa sumu!
Mimi siipendi CCM lakini huwezi linganisha mtu wako na mtangulizi yeyote, Mkapa alikuwa charismatic, Hata JK lakini si huyu.
Hebu tuambie kitu gani kipya chake amefanya? Anasoma wenzie walitaka kufanya nini anakopa na kufanya. Unajua mkapa ndie alianziaha TRA? Na SUMATRA nk? Huyu kaanzisha TRURA! Are they performing?