Recent content by Errand Boy

  1. E

    Kutangaza nafasi za ajira kwa watu "Wa ndani ya NSSF" ni Ubaguzi, Rais Samia ingilia kati, unachonganishwa na wananchi!

    Vigezo walivyoweka ni sawa waseme Internl- Vacant only. Wapo sahihi ndugu
  2. E

    Tuliambiwa tuseme "Dawa ya mboga " tulipo tumwa chumvi usiku

    Hahah Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
  3. E

    Bill & Melinda Gates watalikiana

    Hatimae tetesi zawa ukweli
  4. E

    Je, ilichukua muda gani kuanza kupata faida katika biashara yako?

    Hilo linawezekana ukiisoma vizuri operation model yako/business model yako. Cha msingi angalia namna utafikisha chakula Kwa mteja Kwa gharama nafuu, hakuna ufahari kufanya biashara Kwa gharama kubwa Kaka.
  5. E

    Kamusi ya TUKI: Kiingereza - Kiswahili/ Kiswahili - Kiingereza

    Pia zipo maeneo tajwa kwenye post ya kwanza, japo bei sina uhakika nazo.
  6. E

    Dkt. Kigwangalla: Mashine ya nyungu iliyo Muhimbili ivunjwe, viongozi wavae barakoa

    Aisee ndie huyu huyu alietoa hii nikuu na bila aibu akaiweka hadharani!! [emoji15]
  7. E

    Kamusi ya TUKI: Kiingereza - Kiswahili/ Kiswahili - Kiingereza

    Elfu ,25, ni Kamusi ya TUKI, Kiingereza kwenda Kiswahili. Wauzaji ni BAKITA wapo Makumbusho nyuma ya Jhpiego, Elite Bookstore Palm Village
  8. E

    Jukwaa la Vitabu vya Riwaya na Tamthilia za Kiswahili

    Habari ndugu zangu I Napenda kujua wapi nitapata Jukwaa la Vitabu/hadithi za Kiswahili humu katika jamii ya Jamii Forum?
  9. E

    Kamusi ya TUKI: Kiingereza - Kiswahili/ Kiswahili - Kiingereza

    Mtihani huo ndugu yangu, hardcopy zipo kedekede.
  10. E

    Je, ilichukua muda gani kuanza kupata faida katika biashara yako?

    Yote 9 hapa "Ila ukitaka kufuata kanuni hii, uwe na uhakika hutafanya madhambi Mungu anayochukia, ukifanya tu unafirisika to zero. Trust me haswa uzinzi." Panachangamoto
Back
Top Bottom