Hakuna muuzaji hapa, huyu anachangamsha genge tu.
Mammon ni demon wa daraja la juu sana, mwenye uwezo na nguvu za kutisha. Huwezi uza nafsi yako leo na leo hiyo hiyo ukapata ufahamu kuwa umekosea, muda ule ule unatamka neno la mwisho la kiapo unakuwa si wewe tena, huna tena control na nafsi...