Recent content by eros

  1. eros

    JamiiForums Tanzania Watu wa pwani na matusi ni mgonjwa wa macho na miwani.

    Warangi hao
  2. eros

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wakimbizi wengi wa Kiislamu hawakimbilii kwenye nchi nyingine za Kiislamu?

    Kinacho wapeleka huko ni matumaini ya kupata maisha bora yenye uhuru, tatizo lenu mkifika huko mnataka kulazimisha wenyeji waishi kwa kufata tamaduni zenu. Sasa wenyeji wenu wanechoka, wameanza kampeni za kuwafurusha mrudi makwenu mkafate vizuri tanaduni zenu
  3. eros

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wakimbizi wengi wa Kiislamu hawakimbilii kwenye nchi nyingine za Kiislamu?

    Wahamiaji haramu wakiwa wengi namba ya homeless lazima iongezeke, maana wanahamia tu bila kujari watalala wapi
  4. eros

    JamiiForums Tanzania Je wanaoitwa wafadhili wa Simba na Yanga ni Matapeli? Angalia zawadi walizopewa Yanga baada ya kushinda Ubingwa wa East and central Africa 1993

    Watoto wa 2000 hawawezi jua hizo Tv zilikuwa na thamani kiasi gani kwenye jamii nyakati hizo, kumbuka hapa tunazungumzia miaka 33 iliyopita. Nyakati hizo kumiliki Tv(tuliita video) ya nchi 24 ambayo ndiyo ilikuwa size kubwa zaidi ilikuwa ni ishara ya utajiri, unaheshimiwa na mtaa mzima, kama ni...
  5. eros

    JamiiForums Tanzania Ujumbe wa Krismasi uliotumwa na Imam Mohammad Tawhidi

    Ku Acheni kula hata hizo siku za kawaida, maana baada ya kufundua kuwa mnatuchukia na kutuona ni washirikina, nasi tumeamua kuachana na uungwana wa kuleta mifugo yetu mtuchinjie, tutachinja wenyewe... Maana si kwamba hatuwezi kuchinja wenyewe, bali huwa tunaleta mtuchinjie ili tukiwakaribisha...
  6. eros

    JamiiForums Tanzania Nimeuza roho yangu kwa Mammon

    Hakuna muuzaji hapa, huyu anachangamsha genge tu. Mammon ni demon wa daraja la juu sana, mwenye uwezo na nguvu za kutisha. Huwezi uza nafsi yako leo na leo hiyo hiyo ukapata ufahamu kuwa umekosea, muda ule ule unatamka neno la mwisho la kiapo unakuwa si wewe tena, huna tena control na nafsi...
  7. eros

    JamiiForums Tanzania Thamani ya Yanga ni Tsh. Bilioni 100, Simba ni Tsh. Bilioni 20

    Duh! Eti maswala ya uchumi hayahitajiki kwenye kuangalia thamani ya klabu. Kwa uelewa wako maswala ya thamani ya klabu au kampuni yanahusiana na nini kama siyo uchumi?
  8. eros

    JamiiForums Tanzania Ahadi kumi (10) za mwana TANU na Tanzania yetu ya sasa

    Je, bado tunaziishi hizi ahadi? Tujitafakari!
  9. eros

    JamiiForums Tanzania Mathayo tena na ubunifu wake safari hii ni kuhusu kuthibitisha Utatu

    Kwako wewe kila siku kuja na mada za kuponda injili ndo kujenga heshima? Fundisha watu wajue uzuri wa imani yako na kujua mazuri yaliyomo kwenye kitabu cha imani yako siyo muda wote kubagaza Ukristo. Wakristo huwa wanajizuia kujadiliana na ninyi kwasababu wenzetu hamna uvumilivu, dini yenu...
  10. eros

    JamiiForums Tanzania Mathayo tena na ubunifu wake safari hii ni kuhusu kuthibitisha Utatu

    BIla shaka hizi mada za kupotosha Injili takatifu zinamungezea idadi ya majini huyu mfuga majini, na kumpa uhakika wa kuzawadiwa mabikira 72. Badala ya kutumia muda wake kuwafundisha watu juu ya uzuri wa imani yake ye kutwa kuhangaika na Biblia asiyo ijua. Mnapenda kukejeri imani za wengine...
  11. eros

    JamiiForums Tanzania Simba wanamtangaza Diadora bure, viongozi hawajui thamani yao

    Nyie mnavaa diadora uwanjani bure, wenye kujua thamani zao hawatoi promo bure kuringishia majirani
  12. eros

    JamiiForums Tanzania Simba wanamtangaza Diadora bure, viongozi hawajui thamani yao

    Mastaa wanavaa na kulipwa siyo bure. Ronaldo anavaa Nike na kuvuta £218 M Messi anavaa Adidas na kuvuna £103M Neymar anavaa Nike na kulipwa £84M Vivyo hivyo kwa vilabu, Nike, Adidas, Puma nk wanalipa mabilioni ya pesa kwa vilabu. Wenzetu mnavaa kuwakoga majirani😂
  13. eros

    JamiiForums Tanzania Simba wanamtangaza Diadora bure, viongozi hawajui thamani yao

    Rage aliwapatia sana😂
  14. eros

    JamiiForums Tanzania Simba wanamtangaza Diadora bure, viongozi hawajui thamani yao

    Wewe mwenye akili kubwa tuambie wanalipwa sh ngapi na diadora, kama siyo ufahari wa kuvaa brand ili kuwakoga majirani huku mia huna
  15. eros

    JamiiForums Tanzania Simba wanamtangaza Diadora bure, viongozi hawajui thamani yao

    Makolo vituko kweli, mnajisikia fahari kuvaa brand bila kulipwa hata 100, hayo makampuni ya kutengeneza jezi yanalipa mabilioni ya pesa kwa vilabu yatangazwe ninyi mnafurahia kutangaza bure😂😂😂
Back
Top Bottom