WAKILI WA HENRY KILEO NA JOYCE KIRIA WAFUNGUKA
RE: HENRY JOHN KILEO.
BAADA YA SINTOFAHAMU KUHUSU KILICHOMSIBU HASA HENRY JOHN KILEO, NA BAADA YA MAJIBU YA JESHI LA POLICE KUHUSU JUHUDI ZA JOYCE KIRIA KILEWO KUFAHAMISHWA ALIKO MUMEWE HENRY JOHN KILEWO, NA BAADA YA MASWALI MENGI KWANGU KAMA...
Kimsingi hii radio ilianza kama intertainment Radio na mpaka kesho they proclaim to be the leading radio on that, chakushangaza wanawatangazaji wanaoamini wanajua kila kitu na hasa ushabiki wa kisiasa... Angalieni na myatafakari ya Rwanda na Kenya..
Naweza shawishika kama jamaa ametumia gamba la jamaa, kama aliweza kwenda kwenye mkutano wa kimataifa na kuitangazia dunia kuwa Tanzania ni muunganiko wa Mzee Mugabe na ....................., kweli this is Made in Tanzania.
Wewe uliyetuma habari hii nadhani unataka kupima mudi ya watanzania na hasa wale walio wazalendo.. kama kwa fitina, ghiriba, majungu na vioja vyote wanavyovifanya mjengoni na sehemu njyingine wanaona hawajatosheka kuwahujumu wapinzani, basi wajiaribu kufanya hili ambalo mwana jamii ameliweka...
Batlehem,
Kwa utashi na busara zako tunaweza kulifikisha taifa hili mahala pazuri. KImsingi huwa najiuliza sana huyu Nape huwa anajua anachoenda kukizungumza mbele za watu. Marehemu Prof. Seti Chachage alishawahi kuniambia na namnukuu "UKIONA NGOMA INALIA SANA UJUE INAKARIBIA KUPASUKA" haya...
May his soul rest in eternal peace. We mourn till we join you father Evarist Mushi.
Those murders should know that no single drop of blood has gonne perishing Just like that. We are going to fast and certainly the Almighty God will answer our prayers.
Kwanza ningependa kuanza kwa kusema kuwa siku zote maslahi ya watanzania na haki zao ndivyo vitu venye kipaumbele. Bila kumumunya maneno naomba kuwaambia wanapropaganda wote pamoja na baadhi ya waandishi kuwa mnakosa vya kuandika na kuwapa watanzania habari kitu ambacho ni haki yao ya msingi kwa...
Hili la kuhakikisha CDM inapata Radio na Televisheni yake ni la msingi kwani hujuma zimezidi. Tumewavumilia kwa muda mrefu sasa kwa sababu wameshajua 2015 ndio mpango mzima wameamua kuhujumu bila vificho, na sisi tunasema hakuna kulala mpaka kieleweke. Ingawa bado nina wasiwasi kama TCRA...
Swali kubwa la kujiuliza walikuwa wapi siku zote bila kutoa matamko kama wanaona mambo ya ndani hayako sawa.. NI wanafiki tena bora wamejiondokea tu. Amin nawambia mpaka 2015 watabakia na kutokea wanachama na wafuasi wa kweli wa CDM. Hivi ukifika Ubungo Bus Stand huwa unalazimishwa kupanda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.