The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,874
Hawapigi tena track redioni, na hata kwenye TV hamnioni, na jina haliendi chini.
Najua mnashangaa hata mi Sijui kwa nini?
Jina linaenda chini taratibu
na yeye anajua ndo maana analalamika
Hawapigi tena track redioni, na hata kwenye TV hamnioni, na jina haliendi chini.
Najua mnashangaa hata mi Sijui kwa nini?
Hao Clouds ndiyo waliomtoa Jaydee, ina maana leo kasahau? kweli shukrani ya mapunda mateke!
Mbona kaongea tena kimafumbo kama yeye kweli ni mwanaume na ameamua kufunguka?!
Cloudz ni genge la wahuni. Soon hiyo radio itaanza kuporomoka kama ilivyoanza fiesta.
Hao Clouds ndiyo waliomtoa Jaydee, ina maana leo kasahau? kweli shukrani ya mapunda mateke!