MAN TO MAN – TUSAIDIANE NDUGU ZANGU
Wanaume wenzangu, hebu tusemezane kama wanaume wa kweli. Kila siku tunahangaika, lakini wapo wenzetu wana ka-michongo kazuri kenyeweza kumtoa mtu mtaani hadi kwenye maisha ya kujitegemea. Tusibanane, tusifichane!
Kama una idea ya fursa – iwe ni kazi, short...