Recent content by eric mwakapango

  1. eric mwakapango

    Biashara ya studio

    Mimi ni mkazi wa Dodoma mjini,nina camera cannon mark 3 nina kamtaji kadogo ninataka kufungua kabiashara kadogo ka studio. Ni vifaa vipi vichache vya muhimu naweza kuanza navyo au kama kuna mtu anauza used naweza kuelekezwa kwa ajili ya kubana bajeti. Cont. Call/whatsapp +255 743 796 975
  2. eric mwakapango

    Deus Kibamba: Idadi ya mafisadi imepungua lakini hao wachache waliobakia wanafisadi kweli kweli

    Ufisadi haujapungua ni kwamba sahv hautangazwi kama zaman , fuatilia jssue ya CAG asingesema mngejuaje!? Si ndio mngesema ufisadi hamna!? Walikua wanataka CAG asitoe hii report wiZi wao uwe siri! Paka na panya lao moja.
  3. eric mwakapango

    Rais Magufuli kuanza ziara mkoani Iringa

    [emoji23][emoji23][emoji23]
  4. eric mwakapango

    Ripoti ya CAG kule Tanzania mafisadi wamepiga, mabilioni yanatajwa utadhani pesa ya mboga

    Napata shida kwamba yeye hayajui haya!! Kuba fisadi kafungwa kipindi chake cha miaka minne!?
  5. eric mwakapango

    Spika Ndugai: Bunge limeazimia kutofanya kazi na Profesa Mussa Assad si ofisi ya CAG. Ripoti itasomwa endapo haijasainiwa na Prof. Assad

    Bunge bila speaker!!? Ofisi ya CAG bila ASSAD(CAG) kuna akili na matope hicho ulichosema ni matope sio akili....
  6. eric mwakapango

    Edo Kumwembe " Tuachane na bunge live, tutazame Sultani"

    Hivi ukilidhalilisha unaitwa bungeni eeh! Inabidi na mimi nifanye jambo nipate hiyo safari basi,.. nauli si inawahusu wenyewe!? Malazi!?
  7. eric mwakapango

    SPIKA: Tumesitisha kufanya kazi na CAG. Panga pangua Kamati za Bunge yaanza

    Kwani ulaji wa escrow aliuibua bani! Kama sio CAG !? Sema yeye anaonesha tu then anakaa prmbeni,bunge ndio limwajibishe mlaji .. bunge letu sasa ni shida kidogo hapo suala la 1.5 tr. ndio shida kubwa hapo
  8. eric mwakapango

    BOT yakiri hoja ya Zitto, wadai hakuna deni lililopanda bila mpango

    Hivi kumbe kuna sehemu magazeti hayafiki hadi leo!?
  9. eric mwakapango

    Awamu ya pili ujenzi reli ya kisasa kuzinduliwa Februari

    Kwani awamu ya kwanza ishaisha!? Haijajengwa dsm!? Mmh!
  10. eric mwakapango

    Kashfa Mchanga wa madini; wafuatao nao wachunguzwe

    Sakata la madini / makinikia maraisi ,mawaziri wa wizara hii na wizara wanazoshirikiana , polisi na usalama wa nchi yetu linawapitaje kando hili!? Ikiwa litawapita kando hili haya ya tume na kila kitu ni yaleyale ya miaka yote(upuuzi)
Back
Top Bottom