Recent content by Eric Mkomoya

  1. Eric Mkomoya

    HABARI NJEMA KWA WATUMIAJI WA SMARTPHONE TANZANIA.

    haiijaandikwa bei, na tecno ya high end kwa sasa iliyopo sokoni ni PHANTOM ambayo ni LAKI SABA, so basically tecno hawauzi sio zao kwa bei hiyo uliyotajwa hapo kutokan asababu nyingi mojawapo ikiwa ni target custommer wake.
  2. Eric Mkomoya

    HABARI NJEMA KWA WATUMIAJI WA SMARTPHONE TANZANIA.

    simu nyingi kwa sasa zinakuja na usb type c.... ambayo inasaidia simu kujaa haraka wakati wa kuchaji na zinakua na voltage tofauti na chaja zingine.. hii ipo kwa simu nyingi fanya uchunguzi.. utotafuti unakuja kwenye kampuni husiku kuwekeza kwenyye hizo teknolojia zaidi na kupuunguza zaidi...
  3. Eric Mkomoya

    HABARI NJEMA KWA WATUMIAJI WA SMARTPHONE TANZANIA.

    BAHATI nzuri jina lipo au bahati labda.... but anyway NI tecno L9 plus
  4. Eric Mkomoya

    HABARI NJEMA KWA WATUMIAJI WA SMARTPHONE TANZANIA.

    kuna watu wana shida na simu zinazokaa na chaji na hii kwaajili yako ... every phones comes with target customers ,
  5. Eric Mkomoya

    HABARI NJEMA KWA WATUMIAJI WA SMARTPHONE TANZANIA.

    Kampuni ya simu ya Tecno Mobile, ina taarifa njema kwa watumiaji wa simu janja Tanzania. Tecno mobile inatarajia kuingiza sokoni simu mpya TECNO L9 plus sokoni hivyo kampuni hiyo imetoa nafasi ya upendeleo kwa wapenzi simu hizo kuweka oda mapema ili waipate kabla ya wateja wengine madukani...
  6. Eric Mkomoya

    Tecno L9+ Mkombozi wa watanzania

    inategemea na model sometimes
  7. Eric Mkomoya

    Tecno L9+ Mkombozi wa watanzania

    ina screen kubwa inch 6, ina finger print, ina android 7.o mpya, in internnal 16gb, ram 2gb.
  8. Eric Mkomoya

    Tecno L9+ Mkombozi wa watanzania

    INATOKA mwezi ujao bei takua nzur tu wanvyosem wenyewe
  9. Eric Mkomoya

    Tecno L9+ Mkombozi wa watanzania

    TECNO L9+ MKOMBOZI WA WATANZANIA. Kampuni ya simu yenye asili ya China, Tecno Mobile imekuja na ufumbuzi wa tatzo la simu janja (smart phone) kutokaa na chaji kwa muda mrefu. Tecno wanajulikana kwa kua na simu zinazokaa na chaji kwa muda mrefu lakini zikiwa na ubora mkubwa, inatazamiwa hivi...
  10. Eric Mkomoya

    Ijue Tecno w4

    me sio blogger mkuu, nimeandika kwa interest tu, error imetokea ndo mana nimebadilisha
  11. Eric Mkomoya

    Ijue Tecno w4

    ni nilikosea kweli wakat na upload, asante mzee
  12. Eric Mkomoya

    Ijue Tecno w4

    Hii ndo simu ya kwanza kutoka kampuni ya Tecno kua inatumia Android 6.0 yaani maarufu kama MARSHMALLOW,baada ya kutoka w4 imedhaniwa kua Tecno wamemaliza mfululiza wa Y series ambapo simu ya mwisho ni Y6 na kuanza W4 ambayo ni ya kwanza katika kizazi cha fululizo wa W. W4 ndo iliyoingia sokon...
  13. Eric Mkomoya

    Samsung galaxy s7 active hii hapa

    Vitu vyote vinavyohusina na simu kutoka kampuni ya Simu vya simu yao mpya aina Samsung galaxy Active inakuja kama mwendlezo wa simu waliyoitoa tayari ya Samsung galaxy S7 Vimevuja. Tetesi zimesambaa kwamba simu hiyo inakuja sokoni watumiaji wengi wakijiuliza itakua na nguvu kiasi gani...
  14. Eric Mkomoya

    Tecno ni halisi, ni orijino na kamwe haziwezi kuwa bandia

    kiwanda kipo ethiopia ndo kinajulikan .... tutajie eneo nigeria na kenya amabko wantengeza mkuu
  15. Eric Mkomoya

    Tecno ni halisi, ni orijino na kamwe haziwezi kuwa bandia

    tecno inapatikan India, kampuni mama ya tecno ni TRANSSION HOLDINGS AMBAYO MAKAO MAKUU YAKE YAKO CHINA, LAKIN PIA INAFANYA KAZI FRANCE NA KOREA KUZALISHA SIMU ZAO....KJE INDIA WANAYO HIYO ULIYOITAJA MBONA TECNO ZIPO PIA
Back
Top Bottom