Actually huyu dada ni victim wa ugonjwa, sioni kama anatakiwa kusurubiwa hivi, i think ni vyema kama ungetafuta njia ya wewe kwenda kwa daktari wake uongee naye ujue kama haswa hiyo ndiyo shida, lakini ili ku balance ungeenda naye kwa daktari mwingine wa magonjwa ya wanawake na uzazi, fanya...
Haha naikumbuka sana hii mkuu, tena ndege yenyewe nafkiri ilikua MD8 hivi kama sikosei, ni zile ambazo Engines ziko nyuma kwene tail, jamaa walistruggle sana kumhold mpaka ndege ikafanya emergency landing sema sura yake ipiharibika balaa na upepo.
Huu uzi nimeupenda, nilifkiri tupo wachache ambao ni aviation enthusiasts kumbe nina wenzangu.
Ile ajali ya Air France flight 447, A330, nilipoangalia Air Crash investigation yake ilinipa distress sana, maana ilikua moja ya aviation mystery kwa muda zaidi ya miaka miwili.
Kuna nyingine mfano...
Kwanza kabisa niseme mkuu upo deep kwa swala la Aviation Industry, nimepitia thread yako hii. Hii kitu nimewahi iandika twitter huko pia, na nikatoa mfano wa Airlines zinazojiendesha kwa faida, nyingi hua wanatumia same type of fleet Mfano Easyjet ya Uingereza na Airbus A320, Ryanair na Boeing...
Wakuu naomba kujua kidogo info kuhusu Bet365. Kama nikitengeneza account huko then nikadeposit via Visa, na nikashinda mkeka, nikitaka kudraw pesa, ninahitaji kua na nini mpaka waruhusu transaction kufanyika kwenye account yangu ya Bank? Naombeni majibu yenu ambao mnafaham kuhusu hizi...
Na bado tuna miaka mingine minne ya kuendelea kuisoma nmba kama hivi, its time we start analyzing what is happening na tujipange mwka 2020 tusirudie makosakama haya. Tanzania ni yetu sote sio yao peke yao.
Kitwanga anaudanganya uma sasa, Bombadier sio kampuni ndogo kama anavyodai, ni kampuni kongwe na imesharengeneza Series nyingi za ndege mfano CRJ series, Global series, Cseries ambazo ni mpya na za kisasa zaidi kuliko hata 737 na A319/320 na nyingine nyingi.
Na pia kwa ambaye hajui hizi Q400 ni...
Kwa shirika kama ATCL ambalo lilikua limekufa halihitaji kuwa na ndege aina ya A319 au hata Embreler 190, linahitaji atleast Turboprop engine aircraft kama hizo Bombadier Q400 ama hata ATR 42/72 maana hizi ni very efficient kwa kuziendesha hasa maseala ya mafuta na General mentainance. Na...
Tafadhali naomba msaada, account yangu imebadilishwa password na mtu nisiyemfahamu, probably a hacker, nashindwa kulog in tena, kwa bahati mbaya E-mail niliyokuwa nikitumia mwanzo imeshafungwa na yahoo, kwa hivyo siwezi kuomba kureset password kwa sababu E-mail haipo tena. Wajuzi wa haya mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.