habari zenu wakuu tafadhali naomba kama kuna mtu yeyote anafahamu mahali ambapo naweza kusoma kozi ya GIS (geogaphical information system)kwa mkoa wa mwanza anipe taarifa..asanteni
habari za mida hii wakuu mimi ni msichana wa miaka 23 nipo mwanza nahitaji part time job au kazi za kujitolea katika kampuni yeyote mkoani mwanza inayodeal na mambo ya gis,remote sensing,environmental issues na climate change nipo vizuri pia kwenye hesabu na computer..yeyoe mwenye taarifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.