Recent content by erasto.ngamilaga

  1. E

    Natangaza rasmi...

    Ondoka tu nyie ndo tunawatafuta vibaraka wa CCM kunguni watu bora mjiondoe wenyewe kabla hatuja wachoma
  2. E

    Sakata la ZITTO, Yaliyoko nyuma ya pazia

    Lakin jamani chama imara ni kile kinachotoa maamuzi sasa namshauri Zitto akae pembeni awadhihilishie kamati kua sio msaliti kwa matendo kama anaipenda nchi yake na chama, nadhani huu utakua sio wakati wa kulumbana na chama, Kama ambavyo anafanya lowasa ni ACTION zaidi kuliko kulalama hapo...
  3. E

    Zamaradi Mketema na Ray C warushiana maneno Instagram kisa ni penzi la Ruge!

    Kuwa maharufu ni shida Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
  4. E

    Utajiri wa Kaseja ni ugolikipa tu?

    Jamaa amejitaidi sana bwana Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
  5. E

    John Heche anatumiwa na Mbowe na Slaa kuwamaliza wanasiasa wengine ndani ya CHADEMA

    Inaonyesha CCM wanaingia chini kwa chini ndani ya Chadema ikiwa chadema hawatakua makini uchaguzi ujao hawatakuwa na nguvu kama tuliyotegemea na kupoteza viti vingi vya Wabunge na Madiwani. CHADEMA WATCH OUT ELECTION IS AROUND THE CORNER.
Back
Top Bottom