Wewe unamuona kama anamiliki hivyo ndio utajili na kuanza kumhisia mwenzio kuwa anauza au anafanya biashara haramu? wewe kama una ushahidi wa biashara haramu anayofanya ulete na kama huleti basi wewe wewe hufai kwenye jamii hii!! unajua kadaka mechi ngapi na kaanza mpira akiwa na umri gani? una idadi kamili ya mishahara aliyopata tokea anaanza kucheza mpira mpaka leo umejua kuwa hizo mali zake itakuwa havilingani?.wewe bana acha maneno yako fanya kazi utaona matunda yako ,na kama unafanya kazi ya kulipwa laki tatu kwa mwezi wewe utalalamika mpaka kufa.