Nahisi wamejichanganya kidogo kikoa kinategemea na kitu unachofanya.
Commercial we use .com
Education .edu
wanaideal na issues za bongo kama mwananchi, global na wengine .co.tz lkn wakurungwa wanaoweka .com hawajatarget maswala ya bongo hapa
Wakuu kuna app ya kufanya manunuzi ambayo mtu ata deposit pesa alafu anaifanyia manunuzi kama ilivyo app za sport betting mtu anaoder bidhaa na pesa inakatwa pale kwenye wallet yake ?
Mwenye anajua uwezekano wake na budget yake ipoje MSAADA TAFADHARI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.