Recent content by Erasto Jr

  1. Erasto Jr

    Vipi hatma ya wito wa kutumia kikoa cha .com Tanzania?

    Nahisi wamejichanganya kidogo kikoa kinategemea na kitu unachofanya. Commercial we use .com Education .edu wanaideal na issues za bongo kama mwananchi, global na wengine .co.tz lkn wakurungwa wanaoweka .com hawajatarget maswala ya bongo hapa
  2. Erasto Jr

    Ugunduzi wa Erasto Mpemba, (Maji ya moto kuganda haraka kuliko ya baridi) 'The Mpemba Effect' kwanini hatukufundishwa mashuleni?

    Hii kitu kuielezea ilishindikana but practically iliwezekana ila alipoulizwa how ikashindikana so na sisi tukameza hivo hivo kama ulivyouliza
  3. Erasto Jr

    Msaada kuhusu App ya namna hii

    Wakuu kuna app ya kufanya manunuzi ambayo mtu ata deposit pesa alafu anaifanyia manunuzi kama ilivyo app za sport betting mtu anaoder bidhaa na pesa inakatwa pale kwenye wallet yake ? Mwenye anajua uwezekano wake na budget yake ipoje MSAADA TAFADHARI
Back
Top Bottom