Wadau mimi nahitaji nyumba ya kupanga ila maeneo ya kijitonyama, makumbusho au mwenge.
Nyumba iwe na sifa zifuatazo
1. Vyumba viwili vya kulala
2. Sebule
3. Jiko
4. Choo
5. Maji ya dawasco
NB:BUDGET YANGU NI LAKI MBILI TU(200, 000/=)
vyuo vya serikali havina shida,wakati mwingine hata kama huna ada ukijieleza wanakuelewa,bado hujachelewa na uzuri wakuu wa vyuo wanaelewa hualisia wa maisha ya watanzania,wewe nenda mkuu hata usiwe na wasiwasi,utapokelewa vizuri
Habari za mchana wakuu.
Please naomba msaada kwa anaejua maana imekuwa kero kwa kelele,Jiko ni aina ya WESTPOINT mafiga mawili lina miaka mitatu sasa.
Tatizo lipo hapa yaani kila ukiliwasha linatoa mlio wa moto wa kifuu yaani pu pu pu najaribu kupunguza na kuongeza kidogo linaacha kwa muda na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.