Recent content by epictanzania

  1. E

    Mhe. Magufuli, ushauri kuhusu ajira kwa vijana

    Watanzania tusijidanganye ajira pekee kwa watanzania ni kilimo na ufugaji. Nasemea hivyo maana kilimo kikiimarika Viwanda vitaanzishwa. Kuinua uchumi wa nchi yetu hatuitaji ti watu wenye eliminated kubwa sana Tunahitaji watu ambaowanaweza kutumia elimu kuzalisha Mali. Awe Magufuli au Lowassa...
  2. E

    Swali la Ugomvi: Kwani Lowassa Kawa Mganga wa Kienyeji?

    Wana JFNimefatilia kwa muda mrefu kwa kujitambulisha Mimi ni CCM wa kweli. Nawaomba wa CCM pamoja na wa CDM wote tupo katika familia moja pamoja kwenye mitandao hatujuani vizuri ndiyo maana wengine wanaficha sura wengine wanaficha majina. Tutambue ya kwamba mwisho wa siku ni lazima tutakuwa na...
  3. E

    Kwanini wezi 20 tu watufanye wote CCM tuonekane kuwa ni wezi? Imetosha - Makongoro Nyerere

    Kukaa kimya si dhambi subiri muone CCM ilivyo.Mtu mzima atakatwa mchana kweupe
  4. E

    Kinana apata aibu Bukoba mjini baada ya CCM kukataliwa na wana Bukoba

    Akili za mtu mjinga anapoambiwa ukweli anamaka unataka ccm ilufanyie nini zaido ya wewe kufanya kazi kakujengea barabara akili hamna za kufikiri mwasiga amagezi sada mnatumia akili na bafo mpala akili zikae vizuri mmedekeza uvivu nani asiyejua nchi yenye nrema mnabaki kuhemea Uganda mnabaki...
  5. E

    Kinana apata aibu Bukoba mjini baada ya CCM kukataliwa na wana Bukoba

    Ndugu zangu wa Haya tabu ni moja kila mmoja kasoma maendeleo hakuna kwa bahati mimi mziba tutakaa na ujinga wetu si siku nyingi hata warundi na wanyarwanda tuliokuwa tunawadharau wametupita Chadema mnaokumbatia nenda kwao uone ujinga wa kihaya subiri kama warundi awatawazalia watoto ccm...
  6. E

    Mchakato wa uteuzi ndani ya CCM: Timu Lowassa nambari wani!

    Sasa uchambuzi gani je kasema nini watu kuwa wengi si hoja hotuba yake haikuwa na mshiko wa kuonyesha jinsi ya kuinua uchumi hata ajira hakuonyesha uwezo nyie watanzania Jaribu kuangalia Nyatanyau alivyo kuwa anahutubia bunge la Seneta Marekani kabla ya uchaguzi sijawahi kusikia hotuba ya...
  7. E

    Lowassa Hafai! Yes I said It - Sababu ya I

    Ni kweli EL anajaribu kujiosha.ni mwana CCM amefaidi CCM lakini hajawahi kusema juu ya Kilimo Kwanza anaona aliyemrithi kafanikiwa kulisha taifa na ziada tunasaidia wengine.Kama kweli EL ataleta ajira atwambie katika rasilimali zilizopo hatuonyeshe mifugo yake sijawahi kuona hilo mtoto wa...
  8. E

    Lowassa na Kiingereza chake!

    Jamani ebu tutumie akili zetu za kuzaliwa tuachane na za shuleni.namhushimu sana Lowasa sifa anazojipa hazifai serikalini uwezi kusema ulikuwa na maamuzi zaidi ya rais huo ni uongo huwezi sasa EL anatafuta huruma ya Watanzania wakati akikatwa waone kaonewa.utajiri na umaarufu kapewa na chama...
  9. E

    Kinana: Nape anatoa statement kwa maelekezo ya katibu Mkuu na Mwenyekiti wa chama

    Lowassa kaonyesha anao uwezo mdogo wa kuchambua mambo Bado watu wake hawajajua jinsi ya kupanga mikakati utetezi wake haubebi maji hafai mikakati yake haifai huwezi kubeza kilimo ukapona.hataki kilimo maana mafisadi iwazake kuagiza chakula Kilimo kwanza taifa limepata heshima si ombaomba kama...
  10. E

    Mwigulu Nchemba ajiuzulu nafasi ya Naibu Katibu Mkuu CCM

    Mimi ni CCM damu nadhani M/kiti kwenye hotuba yake ya hekima amesema rais ajaye ni waina gani hivyo tusipoteze muda wa watu kutapatapa mbwembwe hazina maana na tusipoteze muda busara ikitumiwa vizuri hotuba ya JK ndiyo kipimo kama mtu hawezi kujipima basi URAIS hawezi. QUOTE=Chachu...
  11. E

    Nina Tshs. 45 milioni, Nifanye biashara gani?

    Pole na kushauri anza ufugaji wa Nyuki kwa kutumia mizinga YA kisasa ya Apimaye contact beekeepingsupplies@email.com watakusaidia
  12. E

    Naibu spika Ndugai adai waziri mkuu Pinda hana sifa za uraisi

    Tatizo kubwa la Watanzania nikotofanya tafiti za uhakika tunapenda kuhukumu mtu kwa juu juu. Pia tunafanya mzaa kwa mambo ya msingi katika kujenga taifa letu. Mtu bila kuwa na hakika anambeza Mhe. Pinda ni watanzania hawa walikuwa wanabeza Rais wetu wa kwanza kwamba katuletea ujamaa sasa ni watu...
  13. E

    Watanzania tujifunze kufuata utaratibu na sheria

    Kwanza napenda kuwapa heri ya Mwaka Mpya wana JF. Kwa kipindi kirefu nimekuwa nafuatilia mambo mengi yanayojitokeza katika jamii yetu ya Kitanzania hasa kwa wanasiasa wetu kwa ujumla. Katika mfumo wowote hule kama umekubali kuwa mwanachama ni lazima kufuata taratibu na kanuni zilizowekwa...
  14. E

    Mambo yapi ya maana katika uchumi wa mkulima wa kijijini? Mh. Nasari naomba jibu

    Wana Jamii Wenzangu pole na kazi za kujenga Taifa. Nimeleta kwenu hoja yangu hapo juu kwa ajili ya kuongea na mdogo wangu Mh. Nasari mbunge wa Arumeru. Nimesukumwa na kauli yake ya ajabu akibeza juhudi za Waziri Mkuu Mh. Pinda kuhimiza ufugaji wa nyuki. Jambo linalonisikitisha ni kuona jinsi...
  15. E

    Ufugaji wa kisasa wa Nyuki: Faida, Utaalam na Masoko

    Kwa JF wote, Fikiria vijana wetu wanamaliza shule au vyuo hawana kazi.Tafiti niliyo fanya kwa undani kuna kazi moja ukifanya una uhakika kufanikiwa bila wasiwasi.Fikiria kiwanda unachoanzisha hakiitaji mtaji mkubwa , malighafi bure , wafanyakzai bure, huna haja ya umeme. Kiwanda cha namna hii...
Back
Top Bottom