Ni ushahidi gani unaokubarika mahakaman kwasabab nina kesi ya madai tulikubaliana mtuhumiwa anilipe pesa lakini pindi tunakubaliana yeye ana photocopy ya hati ya makubaliano na mm pia je copy hiyo itakubalika mahakaman kama ushahidi wa makubaliano yetu??
Ndugu wanasheria naomba kuuliza ni ushahidi wa aina gani unaokubarika mahakaman?? Mimi nina photocopy ya hati ya makubaliano ya deni na mtuhumiwa lakini hakimu anaonyesha kuto ukubali ushahidi huo anahitaji original copy
Tangu Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli iingie madarakani imekazania kununua ndege kwa ajili ya Shirika la ndege la Tanzania (ATCL). Baadhi ya Watu wanahoji kwanini pesa hizo za kununulia ndege aina ya Bombardier Q400...
Ndugu wana jf nilipoteza pesa katika account yangu ya benk ambayo pesa hiyo ilihamishwa kwenda kwenye namba ya simu ya mtu nisiyemfaham nilifuatilia namba hiyo mtuhumiwa nilimkamata na kumpeleka Polis kabla ya kufika juu zaidi familia waliomba tuyamalize pale polis kabla ya kufika juu zaidi...
Niliibiwa fedha account ya benk baada ya kufuatilia mtuhumiwa nilimkamata na kumpeleka Polisi ndugu wa mtuhumiwa waliomba tuyamalize pale polisi kabla ya kufika juu zaidi tulikubaliana tarehe ya kunilipa fedha zangu sh laki sita na nusu.
Tarehe husika ilipofika walikuwa wamepata kiasi cha sh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.