Habarii, naomba kwa yeyote anae ishi Dsm na anaijua kariakoo nje ndani Hasa kwa wauzaji wa jumla wa vipodozi hii kwa mawakala wa bidhaa au waagizaji wa bidhaa direct from viwandani au nje ya nchi.
Pls hit my dm Kuna kazi ya kufanya mapipo ni mazuri
Upo sawa but nakuambia coz ni option ambyo nimeishi nayo for while ndio maana nmekuambia don't hesitate sijakupa uhakika broh kikubwa hakuna option iliyo na 💯% ya kutokea but tunachofanya nikuangalia option/event zinazoweza kuwa na high probability of occurrence so ujue hakuna option to yeny...
Huwezi lipa frame in advance kka kwa bongo hii Cha msingii kma upo na business ambyo ndio inaianza na waotegemea in running ur life cha msingii tafta biashara ndgo ambyo waifanya kila siku inakuwa Kama part ya biashara means unaweza ukaianza hiyo mfno fungua genge la matunda au kijiwe chchote...
Napokea order ya dagaa chafu na Uduvii kwa ajili ya chakula cha kuku nipo Mwanza(Mkuyunii) na Nina Office Kahama -Shinyanga
Kwa anaehitajii kiasii chochote karbu pia tunatuma mzgo sehemu yyte ile ndani ya Tanzania
Kwa mawasiliano, naptikana: 0744714226
Naitwa Msola mwenyeji wa Mwanza nimekuwa mdau wa uuzajii wa biashara ya dagaa kwa mda.
Hivyo kwa Sasa nimeanzisha biashara ya uuzaji wa dagaaa chafu na Uduvii specific kwa matumizi na malighafi ya kutengeneza chakula cha mifugo hivyo kwa anaehitajii karibunii sana sehemu yyte tunatuma
Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.