Recent content by Enyampisakiniga

  1. E

    JamiiForums Tanzania SoC02 Unyanyasaji wa Wenza Majumbani: Inatosha! Tuwafikirie watoto wetu

    Sababu zipi hatarishi hupelekea Unyanyasaji wa wenza majumbani? Sababu hatarishi zinazoweza pelekea kuwepo na unyanyasaji wa wenza zimegawanya katika makundi matatu; Sababu za mtu binafsi ni zile hulka, tabia na historia ya mtu inayoongeza uwezekano wa kuwa muathirika au katili. Umri mdogo...
  2. E

    JamiiForums Tanzania Hongera ALI KAMWE Kwa Kampeni ya kumpongeza Mfugaji bora wa ligu kuu NBC

    Nianze kwa kumpongeza Bw. mdogo (Ali Kamwe) kwa kazi nzuri ya uchambuzi wa soka hasa ligi ya ndani ambayo amakekuwa akiifanya kwa usanifu wa hali ya juu kupitia kituo cha AZAM TV. Pamoja na umri wake kuwa mdogo, Bw mdogo ameonyesha sio tu ukomavu mkubwa wa akili anapochambua soka letu bali pia...
  3. E

    JamiiForums Tanzania Hongera ALI KAMWE Kwa Kampeni ya kumpongeza Mfugaji bora wa ligu kuu NBC

    Nianze kwa kumpongeza Bw. mdogo (Ali Kamwe) kwa kazi nzuri ya uchambuzi wa soka hasa ligi ya ndani ambayo amakekuwa akiifanya kwa usanifu wa hali ya juu kupitia kituo cha AZAM TV. Pamoja na umri wake kuwa mdogo, Bw mdogo ameonyesha sio tu ukomavu mkubwa wa akili anapochambua soka letu bali pia...
  4. E

    JamiiForums Tanzania Nataka kuigeuza Tsh. 2,000 itengeneze zaidi ya Tsh. Million 1 kila mwezi

    SUBIRI LIGI ZIANZE MWEZI WA NANE UKABET UNAWEZA INGIZA HIYO MILIONI 1 KWA SIKU..
  5. E

    JamiiForums Tanzania Je, kwa mara ya kwanza bajeti ya 2022/2023 kupitishwa na kura chache za wabunge wa CCM?

    Tumezoea kuona mara nyingi inapofikia wakati wa kupiga kura kupitisha bajeti ya Wizara ya Fedha., wabunge karibia woote (99.9%) wa CCM huipigia kura ya NDIYOOO kuiunga mkono hata kama hoja zao za msingi hazikujibiwa kwa usahii, ukiachilia mbali wale wa upinzani (sio kwa bunge la sasa) ambao...
  6. E

    JamiiForums Tanzania Profesa Safari: Halima na wenzie wanapaswa kukamatwa kwa kuidharau Mahakama

    Huwezi elewa kaka. Subiri mke wako achepuke (kama umeoa), umtimue halafu aolewe na mdogo wako au one of your family member..utapevuka hapo....
  7. E

    JamiiForums Tanzania Zoezi la uwekaji anuani za makazi ladoda kwa Dar es Salaam

    Wakati Waziri Nape akikabidhi taarifa ya utendeji wakuweka anuani za makazi. Najaribu kuwaza kwa ukubwa zaidi nini atakuwa amemwambia Waziri Mkuu juu ya alichokuwa akikifanya na utekelezaji wa shughuli nzima kwa kuthaminisha utumiaji mzuri wa rasilimali za serikali na ni tija gani...
  8. E

    JamiiForums Tanzania Wadau wa Siasa toeni elimu juu ya maumivu tarajiwa ya bajeti 2022-2023

    Ukifuatilia mitandaoni na kwenye vyombo mbali mbali vya habari utaona watu/waandishi wa habari wengi (wenye weredi mdogo wa uchambuzi wa masuala ya bajeti) wakiandika na kusifia yale mema tu waliyoyaona kwenye bajeti ya mwaka huu (2022) vitu kama kuondoa/kusitisha ada za wanafunzi wa kidato cha...
Back
Top Bottom