One of the biggest mistake ever...sijui kwann wanawake walio wengi hawana mipaka..privacy is everything and wat people dont know they cant ruin...kujisemesha ovyo kumewaponza wanawake walio wengi sana
Duuuuuuh sijajua ni ndiz zipi hzo maana hata kaskazin tuna ndizi kibao au ni vile mandizi yetu ya huku makavu kama ukila ndizi mshare bila kitu cha kushushia umekabwa
Hahahahhaahhahahahahhaah hujakosea mkuu...
nasikia huko kanda ya ziwa kinachofanya hiyo mimaji inakua mingi ni zile ndizi zao according to story za hapa na pale lakin sidhan nahisi ni maumbile sijui
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.