imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 48,868
- 75,622
Tatoo sio Mbaya haswa ikiwa na Usanii ambao lengo lake ni kuongeza Mvuto na urembo.
Lakini kuna Maamuzi mengine ya kuiga Vitu vya Ajabu kabisa mwishowe unakuja juta na Kusaga Meno.
Tatoo kama hii ya Medusa kwenye sehemu nyeti,,lazima itanifanya hata hamu iniishie kabisaa labda nitoke nikanywe konyagi ndogo.
Tatoo ambazo ni Romantic ndio zinafaa sio Miungu ya Kishetani
Ya Wayunani wa Kale
Lakini kuna Maamuzi mengine ya kuiga Vitu vya Ajabu kabisa mwishowe unakuja juta na Kusaga Meno.
Tatoo kama hii ya Medusa kwenye sehemu nyeti,,lazima itanifanya hata hamu iniishie kabisaa labda nitoke nikanywe konyagi ndogo.
Tatoo ambazo ni Romantic ndio zinafaa sio Miungu ya Kishetani
Ya Wayunani wa Kale