Aaaaah nimesikiaa kaimu wa nacte anasema mwisho wa kuripot vyuon ni tarehe 06/10. Wanaanza kuingiaa 20/09 hio kitu ni kweliii amaa mana ukiongeaa na vyuo wanakupa majibu tofauti
Jmani napenda kuuliza kwa wale walioomba kubadilishiwa course Na chuo nawakatumiwa ujumbe toka nacte kuwa wamefanikiwa kubadilisha chuo/course
Je ni taar wameshachaguliwa mojamoja kwenye chuo husika inatakiwa wasubiri joining instruction au kuna njia nyingine za kufuataa ??
Msaada wenu jamni kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.