kweli mgomo ulikuwepo ila umekwisha ni madai mbalimbali, CHUO KUWA NA WALIMU WASIO NA SIFE YAANI TA KUMILIKI SOMO, FEDHA ZA SERIKALI YA WANAFUNZI KULIWA, KUWEPO NA KOZI ZISIZO SAJILKIWA NACTE NA WIZARA YA AFYA, GRADE ZA UFAULU KUWA JUU PASIPO NA FACILITIES ZA KUTOSHA NA CHUO KUWA KM HAKINA MWENYEWE.
katika hali ya kawaida mnapo kuwa wapenzi mambo mbalimbali hufanyika mnapo kuwa wapenzi na kupelekea kupeana zawadi mbalimbali.
nilikuwa na mpenzi wangu ambaye ilikuwa yaelekea tuwe wachumba siku zote alijifahamisha kuwa yeye anafanya kazi ya afisa mikopo midogo midogo katika taasisi moja kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.