Mtoa hoja una chuki binafsi na nyambari,kwanza umeanza na elimu hujamaliza hoja unaanza benki sasa tuelewe nini, kama msomi na uliyeona tatizo ni vema kama ungetoa suluhisho. Kumbuka nchi yetu ilikuwa ikitegemea vitabu kutoka tanzania intitute of education (tie) siku hizi tie hatujui imefia wapi...
Huyu mtu bure kabisa kweli anaaibisha hata serikali yake, mbona yeye aliongea matusi bado hajafungiwa?asituchefue wanajamii tuungane kumpinga mtu huyu.
Sisi sio watoto wadogo kama vipi chakachueni yote hata ya miaka iliyopita.Kushindwa kuwajibika mnaleta longolongo hapa sasa mnabadili F=D, D=C, C=B,NA B=A ili kuziinua shule zenu zinazotia aibu.
Sisi sio watoto wadogo kama vipi chakachueni yote hata ya miaka iliyopita.Kushindwa kuwajibika mnaleta longolongo hapa sasa mnabadili F=D, D=C, C=B,NA B=A ili kuziinua shule zenu zinazotia aibu.
Nikikuita mjinga ntakuwa nimekuonea ww ni mpumbavu kwa sababu hujui kuwa hao unaowaita wazazi ndio waliowazaa hao walimu? sasa unamfananisha mwl Nyerere bila kuchunguza nyakati. Kwanza ww ni nani ktk nchi hii hadi ujifanye mzarendo kwenye nchi iliyojaa wezi. Tumia kichwa kufikiri na si kiungo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.