imeandikwa "heri mpatanishi....."lakin pia ni mhimu kuweka ukweli bayana wakati upatanishi,pia ni mhimu kudumisha amani kwa kudumisha uhuru wa kuabudu na kuheshimiana na kupendana maana upendo huleta ustahimilivu,huvumilia.lakini ukweli ni huu,ukristo na uislam ni dini mbili tofauti kabisa zenye...
katika suala kuwepo faoujitoa ni haki ya mwanachama,pawe na fursa na maamuzi yanayotegemea uamuz wa mwanachama mmwenyewe.iwapio halitawekwa sawa hili,waathilika wakubwa watakuwa waajiriwa kwenye sekta binafsi ambako ajira sio za uhakika.mfano kuna makampuni ktk biashara ya mazao kama...
morovian walitoka jamhur ya check ya leo ndo kuna kijij kinaitwa morovian hawa walikuw wafuas wa john huss wakanzisha jumuia ya kindugu ya watu wa morivian.
Nisingependa zito kabwe agombee urais kw sababu
1.zito haaminiki tena siku hiz,tofaut na yule wa buzwag
2. Hajiamin,anapenda kujipendekez(hasa kwa mafisad)ana pupa na madaraka.
3.analewa sifa mf.ubunge sio saiz yng.
watz hasa ndg waislam kuna mambo meng yamefichika nyuma ya pazia.OIC sio jumuia ya kiuchumi au yenye malengo ya kiuchumi,hii ni jumuia ya kidin yenye malengo na mikakat ya kiiman zaid.ktk malengo na maazimio yao hukuna masuala ya kiuchumi.hata nchi zilizojiunga na zenye waislam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.