Recent content by enock hiza

  1. E

    JamiiForums Tanzania Usalama wa fedha zetu kwenye benki zetu upo? Nimetumia ujumbe kadi yangu imefanya muamala India

    Na ukae ukijua hata kama bank ulikuwa na milioni mia mbili bot watakulipa laki na nusu kwa hiyo usikae ukidhani eti utalipwa zote
  2. E

    JamiiForums Tanzania Makamanda wa Polisi (Iringa & Dar) watofautiana sakata la Abdul Nondo

    Ndo tatizo la kufanya kazi kwa maelekezo
  3. E

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kuonana na wakuu wa nchi nina jambo muhimu sana

    Viko makini kushughulikia wanasiasa sio kwa usalama wa nchi
  4. E

    JamiiForums Tanzania Nimeumia kwa kauli hii

    Ntakushangaa mpk 2020 umekomaaa dar nenda kanda ya ziwa hata ukijenga barabarani hutabomolewa,wanaume wa dar mjiongeze
  5. E

    JamiiForums Tanzania Barua kwa Rais kutoka kwa wahanga wa NIDA

    Wakati wanaimba ule wimbo walidhani wataisoma wapinzani sas hiv tunaisoma wote,kaka tulia tu watanzania waliofukuzwa kazi na wasio na kazi ni wengi mno
  6. E

    JamiiForums Tanzania Hii michezo ya "bingo" mbona sasa too much?

    Zingekuwa za mange kimambi TCRA wangekuwa wameshaziona
  7. E

    JamiiForums Tanzania Tabora yasajili vitambulisho vya Taifa

    Nilishauliza kwa ofisa kata wa eneo husika akasema vitambukisho vyote havijaletwa so sijui ni kwanini vinachukua mda mrefu sana
  8. E

    JamiiForums Tanzania Tabora yasajili vitambulisho vya Taifa

    Niulize kidogo hiv vitambukisho hutoka baada ya mda gani manake hata mm nimejiandikisha toka mwaka Jana mwezi October lkn mpk leo cjaona wito wa kuitwa nikachukue
  9. E

    JamiiForums Tanzania Askari polisi punguzeni kuomba omba

    Mm huwa nafikiri labda wanapokuwa chuo kuna hili somo la kuomba manake mpk kero,yaani imekuwa kam ni utamaduni kwao kuomba omba
  10. E

    JamiiForums Tanzania Serikali yasitisha Mnada wa kuuza Vifaa na mali za mgodi wa Buzwagi

    Habari ya Noah zetu basi tena
  11. E

    JamiiForums Tanzania Manyanyaso yanayofanywa na kikosi cha jeshi Airwing

    Mwambieni malaika wa nchi hii
Back
Top Bottom